Recent content by Chief nduna songea

  1. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Uongo uongo udongo ni bure Hauuzwi, Huwa najiuliza sijui kwanini mtu unaamua kukaa chini kuandika uzi wa uongo au Labda nawewe ulidanganywa basi Andika kitu ambacho una uhakika nacho
  2. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Baada ya Miezi Miwili kurejea CHADEMA, Selasini ataka Heche achunguzwe

    Faida moja kubwa ya kuwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani ni kama Mchungaji au sheikh hata ukibaka hadharani waumini wako watasema ni mipango ya shetani 😀😀 ibada njema inaanzia nyumbani kwani shida nini ukifanywa huo uchunguzi??? Kama mtu hana hatia si itajulikana
  3. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Tesha: Amekataa mauaji na utekaji amesimama na watanzania kulingana na kiapo chake ni jeshi la kuigwa

    Hivi kuna ng’ombe bado wanaamini huyu ni askari 🤣🤣
  4. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Ina maana JWTZ wamenywea kabisa?🤣

    Nyumbu mlitaka jeshi lipindue nchi kwa shinikizo la mange kimambi???? 😆😆😆😆
  5. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Mange atakuja kuwa mtu mkubwa sana na kusomwa habari zake kwenye Tanzania ya kesho

    Jamii forum imekuwa na watu wapumbavu sana siku izi
  6. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania KUNA UMUHIMU WOWOTE KWA RAIA KUWAPENDA AU KUWA HESHIMU JWTZ?

    hii bongo ngo’0mbe ni wengi kuliko watu nyie hamjasalitiwa na jeshi mlidanganywa na kuingizwa cha kike na dada enu mange nanukuu maneno yake ya uongo na utapeli “Jeshi lipo Pamoja na nyie polisi pia wapo Pamoja na nyie” Leo mnatoa lawama jeshi limewasaliti lini mlikubaliana nalo...
  7. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors

    Video wametumiwa whatsapp waliowatumia hawajatuma na vulugu za raia kaka maana hakuna video mpya hapo
  8. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Habili ni nani? Je, anaishi Kawe kweli? Kuingilia mifumo ya ulinzi ya nchi mbona ni hatari kwa Taifa

    Baada TESHA Sasa Habil 😀😀😀😀 Ila Tanzania ng’ombe ni wengi kuliko watu
  9. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Kwanini waliotuletea mahindi wao hawali ugali?

    Mbona sisi tunawapelekea tanzanite, Almas dhahabu lakini hatuvai dhahabu KUTESA Kwa ZAMU
  10. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Simu used from Dubai 🔥🔥🔥

    ᴅᴀꜱ ᴍᴏʙɪʟᴇ ᴇꜱꜱᴇɴᴛɪᴀʟs ᴍᴀᴢᴏᴇᴢɪ ꜱᴏꜰᴛ 📞0622962627 ɪᴘʜᴏɴᴇ ʙʀᴀɴᴅ —-ɪᴘʜᴏɴᴇ x ɢʙ 64 ʙʜ 100 ᴄʟᴇᴀɴ ᴅxʙ ᴘʀɪᴄᴇ 450,000/=✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ x ɢʙ 64 ʙʜ 100 ᴄʟᴇᴀɴ ᴅxʙ 400,000 ɴᴏ ꜰᴀᴄᴇ 💔✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴅᴍ ʙʜ 100ᴘʀɪᴄᴇ 650,000 ᴄʟᴇᴀɴ✅✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴘʀᴏ ᴍᴀx ɢʙ 256 ᴅᴍ ʙʜ 100 ᴘʀɪᴄᴇ 950,000 ᴄʟᴇᴀɴ✅✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴘʀᴏ ᴍᴀx...
  11. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Najuta kuzaliwa Tanzania

    Unakuta Jamaa yupo makete katulia anakuna mbupu tu
  12. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nimefanikiwa kuwa Daktari kwa msukumo wa mama ambae ni kichaa, alibakwa akanizaa mimi

    Mimi nimeishia kusoma hapo kwenye jeshi hii chai yako
Back
Top Bottom