Recent content by Chief nduna songea

  1. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Tesha: Amekataa mauaji na utekaji amesimama na watanzania kulingana na kiapo chake ni jeshi la kuigwa

    Hivi kuna ng’ombe bado wanaamini huyu ni askari 🤣🤣
  2. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Ina maana JWTZ wamenywea kabisa?🤣

    Nyumbu mlitaka jeshi lipindue nchi kwa shinikizo la mange kimambi???? 😆😆😆😆
  3. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Mange atakuja kuwa mtu mkubwa sana na kusomwa habari zake kwenye Tanzania ya kesho

    Jamii forum imekuwa na watu wapumbavu sana siku izi
  4. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania KUNA UMUHIMU WOWOTE KWA RAIA KUWAPENDA AU KUWA HESHIMU JWTZ?

    hii bongo ngo’0mbe ni wengi kuliko watu nyie hamjasalitiwa na jeshi mlidanganywa na kuingizwa cha kike na dada enu mange nanukuu maneno yake ya uongo na utapeli “Jeshi lipo Pamoja na nyie polisi pia wapo Pamoja na nyie” Leo mnatoa lawama jeshi limewasaliti lini mlikubaliana nalo...
  5. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors

    Video wametumiwa whatsapp waliowatumia hawajatuma na vulugu za raia kaka maana hakuna video mpya hapo
  6. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Habili ni nani? Je, anaishi Kawe kweli? Kuingilia mifumo ya ulinzi ya nchi mbona ni hatari kwa Taifa

    Baada TESHA Sasa Habil 😀😀😀😀 Ila Tanzania ng’ombe ni wengi kuliko watu
  7. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Kwanini waliotuletea mahindi wao hawali ugali?

    Mbona sisi tunawapelekea tanzanite, Almas dhahabu lakini hatuvai dhahabu KUTESA Kwa ZAMU
  8. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Simu used from Dubai 🔥🔥🔥

    ᴅᴀꜱ ᴍᴏʙɪʟᴇ ᴇꜱꜱᴇɴᴛɪᴀʟs ᴍᴀᴢᴏᴇᴢɪ ꜱᴏꜰᴛ 📞0622962627 ɪᴘʜᴏɴᴇ ʙʀᴀɴᴅ —-ɪᴘʜᴏɴᴇ x ɢʙ 64 ʙʜ 100 ᴄʟᴇᴀɴ ᴅxʙ ᴘʀɪᴄᴇ 450,000/=✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ x ɢʙ 64 ʙʜ 100 ᴄʟᴇᴀɴ ᴅxʙ 400,000 ɴᴏ ꜰᴀᴄᴇ 💔✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴅᴍ ʙʜ 100ᴘʀɪᴄᴇ 650,000 ᴄʟᴇᴀɴ✅✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴘʀᴏ ᴍᴀx ɢʙ 256 ᴅᴍ ʙʜ 100 ᴘʀɪᴄᴇ 950,000 ᴄʟᴇᴀɴ✅✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴘʀᴏ ᴍᴀx...
  9. Chief nduna songea

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wataalam naombeni ushauri, Nichukue simu ipi kati ya hizi endapo haizidi laki 3?

    Njoo nikuuzie pixel 3axl
  10. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania Najuta kuzaliwa Tanzania

    Unakuta Jamaa yupo makete katulia anakuna mbupu tu
  11. Chief nduna songea

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nimefanikiwa kuwa Daktari kwa msukumo wa mama ambae ni kichaa, alibakwa akanizaa mimi

    Mimi nimeishia kusoma hapo kwenye jeshi hii chai yako
  12. Chief nduna songea

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chaja yangu ya simu ilikuwa fasta sana, nini imeikumba?

  13. Chief nduna songea

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni halali mke kulazimisha tendo kwa nguvu?

    Hapo mnanikumbusha siku moja babu yangu aliniambia maneno muhimu saaana tukiwa kwenye harusi ya binamu yangu babu akaniita pembeni karibu na spika za mziki na mziki mziki ulikuwa mkubwa sikuskia alichosema
Back
Top Bottom