hii bongo ngo’0mbe ni wengi kuliko watu nyie hamjasalitiwa na jeshi mlidanganywa na kuingizwa cha kike na dada enu mange nanukuu maneno yake ya uongo na utapeli
“Jeshi lipo Pamoja na nyie polisi pia wapo Pamoja na nyie” Leo mnatoa lawama jeshi limewasaliti lini mlikubaliana nalo...
Hapo mnanikumbusha siku moja babu yangu aliniambia maneno muhimu saaana tukiwa kwenye harusi ya binamu yangu babu akaniita pembeni karibu na spika za mziki na mziki mziki ulikuwa mkubwa sikuskia alichosema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.