Mie hapa napita tu
Ila tetesi nasikia mkemia mkuu hajamaliza vipimo vyake kwa masogange amewambia wamwachie kwake mwaka kesho atawapa jibu kama anatumia au laa
Jamani msimuonee rais wetu anajitahidi atutunzie Mali asili zetu zisiibiwe
Go go go magufuli bora wewe uwe maskini kuliko wananchi wako wadharirike tunakutegemea ushindwe
Ndio atuambie sasa kwanini shule zimefeli kupitiliza ule muda wa kukaa na kubwabwaja kuhusu wala unga si angepitia kila shule akawape majibu waweze kufaulu
Huyo kijana yupo ktk system ya serikali jina lake likitajwa mnataka simba dume angurume msoga patakua hapakaliki hata huyo kondakta nae anayake kipindi cha DC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.