mi sidhani kama waganga wote wanahusika na mauaji ya albino hivyo kukamata waganga tanzania nzima na kuwaweka selo sio jambo la kiungwana hata kidogo kwani najua serikali ina mkono mrefu ingejipambanua kuwakamata wahusika
Yote yanawezekana kwa upendo tu ila kama ni mimi siwezi kutoa hiyo hela mabinti wenyewe wameshakua vicheche unaoa leo kesho wanaanza kukugongea kwanza mi naona utaratibu ungebadilika wanawake ndio wawe wana tutolea mahari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.