Recent content by chidodolo

  1. C

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari Tanzania vinatumika kuihujumu CCM?

    Jenga hoja siyo unalalamika.kweli si kweli kwenye rushwa.na gazeti la uhuru linaloandika lipumba amehama chama.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Maandamano kumtaka Dr. Slaa aseme kilicho myoni mwake

    Padri gani anakinyongo namna hiyo.kanisani huko kwenye siasa huko.acha dhambi ikutafune.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Endelea kususa tu.si tunapiga mzigo na cdm yetu.unasusasusa umekuwa mtoto?hatudekezi mtu chapalapa.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Dkt. Slaa kuondoka CHADEMA

    Ajitokeze yeye mwenyewe akanushe.vinginevyo aende zake yeye si alikuja chadema kama lowasa tu.asijoone super star cdm hakuna hiyo.
  5. C

    JamiiForums Tanzania GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Kuna mdada mmoja anabowa sana bungeni bora amepigwa chini.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

    Kichaa huyo achaneni nae.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

    Kama ni kweli slaa ameonyesha udhaifu wa hali yajuu.nilikuwa namfagilia sana lakini kwa hili aende zake tu.padri gani hajui kusamehe,kama alikuwa na ushahidi wa lowasa kwa nn hakumpeleka mahakamani?Nenda zako msaliti wa pili toka zzk.TUKO KWENYE UKOMBOZI WA NCHI HATUTAKI MCHEZO NA MTU.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Raia Mwema na habari za Ki-Facebook!

    Jenerali wanakutia aibu.unaheshima yako kwenye taaluma ya habari.Ushauri wa bure liuze kwa global publishers wawe wanaandika habari za wale wa dada walioenda kugombea ubunge singida na tabora.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    Raia mwema mnaanza kukosa sifa ya kuwa gazeti makini.kaliuzeni nalo kama mtanzania kwa global publishers.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

    Ulimchangia shilingi ngapi kwenye hiyo nyumba?umbeya tu.nenda tume ya maadili ukaone amejaza nn.mwenzio mali kazikuta kwenye familia yao.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

    Kweli Tanzania kuna makanjanja wa uandishi wa habari.waandishi makini wangeshajua Dr slaa,Mnyika wapo wapi?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    Dr slaa,mnyika mbona kimya wekeni msimamo wenu watu wawe huru.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Harufu ya ufisadi kijijini Msoga kwa JK

    Tutauliza october tukichukua nchi.
Back
Top Bottom