Recent content by Chicko89

  1. Chicko89

    Anachotafuta Makonda ni laana, anafokea maafisa Elimu

    Uongozi huenda sambamba na WELEDI, HEKIMA, BUSARA
  2. Chicko89

    Tukumbushane Nyimbo za Bongo Flava Zilizotamba enzi za 2000-2008

    Nakuhitaji- CAZ T Umasikini huu - John walker(RIP) & RAS LION Mpenzi - DUDU BAYA Fagio la chuma - FAGIO LA CHUMA T shirt na Jeans - UNIVERSITY CORNER Mzee wa busara - WACHUJA NAFAKA Hakuna kulala -J NATURE Ugali - J NATURE Inaniuma sana - J NATURE Ubinadamu - J NATURE Mtoto Iddi - J NATURE Sonia...
  3. Chicko89

    Urafiki Wa Gwajima, Seif Na Lowassa. Ulianza Lini? Je Ni Wa Dhati? Una Maslahi Yoyote Kwa Taifa?

    Kwa hyo wanasiasa hawatakiwi kuwa marafiki badala yake wawe maadui!! Akili fupi hii
  4. Chicko89

    Urafiki Wa Gwajima, Seif Na Lowassa. Ulianza Lini? Je Ni Wa Dhati? Una Maslahi Yoyote Kwa Taifa?

    Usinambie siku hizi ili uwe na rafiki mpya Lazima uzingatie maslahi ya Taifa!! Mtatukataza hata kupumua kwa maslahi yenu UCHWARA hayo. Only in Tanzania
  5. Chicko89

    Hii ni Tenda ya ajabu kabisa: Tenda kama hizi ni kifo cha sekta binafsi,nani aliziruhusu?

    Hata kama wakifanya hivyo haitasaidia!! Mkuu wa kaya hataki na haonesho dhima ya kuruhusu watu binafsi (wakandarasi wa ndani/private) kupata kazi! Kwa maana hata hostel za UDSM zimejengwa na Taasisi ya serikali tena inasemekana bila hata ya tenda!
  6. Chicko89

    Hii ni Tenda ya ajabu kabisa: Tenda kama hizi ni kifo cha sekta binafsi,nani aliziruhusu?

    Kwa hali hii umasikini utaongeeka sana nchini! Pesa yote inazunguka kwenye mikono ile ile (serikalini)
  7. Chicko89

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    In short they have to change!!
  8. Chicko89

    Hili la Nape kupita kwenye migongo sio udhalilishaji kwa Mama zetu?

    Nj tamaduni zetu watu wa kusini UTUACHEE!! Mimi mwenyewe nilivyotoka jando nlifanyiwa hivyo, na hawalazimishwi wenyewe ndio wanafanya ni Heshima ni utamaduni!!
  9. Chicko89

    Tutampataje Roma kwa kutumia namba zake za simu?

    Jamaa anataka kukiki kwa kujifanya shujaa mkomboa wakina moni na roma
  10. Chicko89

    Chama cha Wamiliki wa Mabasi chatangaza mgomo wa usafirishaji abiria na mizigo

    Nasikia ni kiki ya Mzee! Atakuja from no where kuifuta sheria hiyo, si mnajua "Mzee wa makiki kama msaniiiii" in Nikki wa pili's voice
  11. Chicko89

    My playlist: Taja nyimbo ambazo siku haiwezi kuisha bila kuzisikiliza.

    1.Nisaidie kushare - Jay moe 2.Ya kulevya - Weusi 3.Uchu - Solo thang ft Dully Sykes 4.Sweet love - Heri music 5. Acha niende - Baraka da prince
  12. Chicko89

    Ikiwa ni kweli mkuu wa mkoa wa Dar ameidharau tume ya Nape sasa atakuwa kafika mbali!

    Hizo hisa zinatugawa hizo! Wenye nazo tu ndio zinawahusu! Maana nasikia kima cha chini ni Tsh 1mil
  13. Chicko89

    Laurence Masha ajitoa kugombea Urais TLS, amuunga mkono Tundu Lissu

    What a trick!! I like it!!! Aaah aaaaah aaaaah aaaaah sasa zamu yao kufwaa
  14. Chicko89

    Baada ya kashfa ya Bashite, Radio Clouds nayo itamuaibisha rais

    Anyang'anywe/Afutiwe kabisa na hyo Bachelor nyambafu!!
Back
Top Bottom