Urafiki Wa Gwajima, Seif Na Lowassa. Ulianza Lini? Je Ni Wa Dhati? Una Maslahi Yoyote Kwa Taifa?

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
IMG-20170511-WA0000.jpg
 
kwa picha hizi tu (kutembelewa ofisini) ndio unamaanisha huo urafiki? Gwajima ana urafiki na wanasiasa wangapi wa upinzani na CCM? Seif ana urafiki na wanasiasa wangapi wa upinzani na CCM na viongozi wa kidini? Lowasa ana urafiki na wanasiasa wangapi wa upinzani na CCM? Urafiki ni lazima uwe na uhusiano na maslahi ya kitaifa? Urafiki wa Makonda na GSM na Kinje Ngombale una maslahi gani kwa taifa? Urafiki wa Magufuli na Mrema una maslahi gani kwa taifa? Urafiki wako na housegirl wa jirani yako una maslahi gani kwa taifa?
 
asante brother kwakutusaidia kushare,kunawatu unaweza kudhani unapowawekea dis caption unawachafua kumbe ndio unazidi kuwa ongezea wafuasi na mashabiki...!!!hii ina dhihirisha uwezo wa vijana wa lumumba nikuongelea watu sio sera za chama chao maybe ndio viwanda walivyo ahidiwa:(:(:(:(
 
kwa picha hizi tu (kutembelewa ofisini) ndio unamaanisha huo urafiki? Gwajima ana urafiki na wanasiasa wangapi wa upinzani na CCM? Seif ana urafiki na wanasiasa wangapi wa upinzani na CCM na viongozi wa kidini? Lowasa ana urafiki na wanasiasa wangapi wa upinzani na CCM? Urafiki ni lazima uwe na uhusiano na maslahi ya kitaifa? Urafiki wa Makonda na GSM na Kinje Ngombale una maslahi gani kwa taifa? Urafiki wa Magufuli na Mrema una maslahi gani kwa taifa? Urafiki wako na housegirl wa jirani yako una maslahi gani kwa taifa?
Hawa wazee wenu akili zao zimeshakuwa kama za watoto wadogo wakikutana wanacheza komnolela wakidanganyana iko siku wakuwa marais,
 
Unauliza maswali ya kijinga kweli hivi viongozi wakubwa mpaka wakutane lazima wawe marafiki?hujui taasisi wanazoziongoza ndo zimewakutanisha
 
Kwanini watu wa ccm mnachukia watu wanapokuwa wamoja,. au mnataka kutekeleza ile sera ya "DIVIDE AND RULE"
 
Kwa nchi zilizo serious hawa wazee hawakupaswa kuendelea na harakati za kisiasa hasa ukisingstia historia yao chafu
 
Kwa nchi zilizo serious hawa wazee hawakupaswa kuendelea na harakati za kisiasa hasa ukisingstia historia yao chafu
 
Usinambie siku hizi ili uwe na rafiki mpya Lazima uzingatie maslahi ya Taifa!! Mtatukataza hata kupumua kwa maslahi yenu UCHWARA hayo. Only in Tanzania
 
Back
Top Bottom