Recent content by chichari

  1. C

    TCRA yasomesha watatu kwa Sh 2.2 bilioni

    Mimi ningekuwa mhasibu wa TCRA ningeachia ngazi haraka iwezekanavyo.....haiwezekani mhasibu akashindwa kukusanya data sahihi za watumishi watatu waliopelekwa shule kwa mwaka.Hapo ni kujumlisha tu.....!
  2. C

    ZINGATIA-Mnaoweka matangazo ya kazi humu

    link zinatosha kabisa wakuu,ukishikwa shikamana.
  3. C

    Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

    Mimi nafikiri tatizo letu ni la kiuongozi zaidi na sio kitaaluma,Ukiangalia hata mashirika mengi ya kigeni kwenye secta binafsi hakuna watanzania ambao wamefanikiwa kushika nyazifa za juu globaly,mfano katika Mabenki ya kimataifa.Huko hawahitaji tu vyeti vyako vya shule lakini pia uwezo wako wa...
  4. C

    Kumkumbuka Mary Shoo

    So sad,hiyo inaonyesha ni jinsi gani ujambazi umekithiri katika jamii yetu.Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanakatisha watu tamaa kujiajiri kwani unajua siku moja pesa yako itakumaliza.Ndio maana Mungu anatuadhibu watanzania kupitia Ajari za magari,meli n.k
  5. C

    Hivi watanzania taaluma (professional) gani tunayo imudu vizuri?

    Kimsingi hakuna tunachoweza mpaka sasa,lakini tunayonafasi bado ya kufanya vizuri kama tukiamua kuanzia sasa.
  6. C

    Vote for Mount Kilimanjaro to become among new 7 wonders

    Na ukishachaguliwa usaidie kuinua mapato ya utalii.
  7. C

    Taarifa Muhimu - Tafadhali Soma Hapa

    Poa mkuu tumekusoma!
Back
Top Bottom