POLITE MAN
Member
- Oct 14, 2011
- 41
- 7
Papaa kama upo siliazi na kutafuta kazi basi inabidi ushukuru kwa kupewa link ni jukumu lako mwenyewe kutafuta, lipa hata buku uingie internet cafeee. Kwani unalaumu kwa uyo anaekusaidia kukupa linki wewe unamlipa nini na hata akujui kwanza then anakusaidia wewe unamlaumu.
Inaonekana hata ukipewa maswali ya mtihani wa kesho wewe utamlaumu aliekupa mbona ajakupa na majibu, tuweni waungwana wana jf
Inaonekana hata ukipewa maswali ya mtihani wa kesho wewe utamlaumu aliekupa mbona ajakupa na majibu, tuweni waungwana wana jf