Miaka ya hivi karibuni maisha yalinichapa kweli mpaka nikadhani nimeporwa nyota nini,kidogo niende kwa wasafisha nyota aloo.
Nikavunga nikaa kwa kutulia tu,ila naona sa hivi Mungu. amefungulia baraka kama zote.
Wasafisha nyota msini mind.
Dah nchi hii hainaga fadhila mkuu,aliyebuni wimbo wa taifa au bendera ya taifa utakuta hata hawajulikani kabisa.
Enzi hizo nadhani ilikuwa uzalend o kwanza kwa nchi kisha malipo mbinguni.
Kwa kweli,hili dude lilikuwa hatari zamani kabla wasauzi hawajainunua tz breweries enzi ya mkapa,walikuja na fomula mpya wakachakachua kidogo,still sio mbaya..
Hakika tunajivunia bia yetu.wabunifu wa safari lager walitoa hiyo fomula baada ya kutoka masomoni ujerumani miaka ya 70s.kina somebody...
Najaribu kufutilia mafaili yote kaama kuna mzungu Peter alikuwa jela kipindi hicho,naona hapa kuna peter kamachumu,peter kalumuna,peter kahatano,peter ngaiza,peter bushoke.
Ntawapa mrejesho wa hii chai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.