Ukiona picha ya Lyatonga Mrema, basi umeiona picha ya Joseph Shamba a.k.a Vengu! Mtoto wa Ifakara.Wengine hatumjui picha tafadhari.
Punguza stress!Endelea kuwa mbishi, komaa hivyo hivyo. Walidhania wangefanikiwa kukutoa qafra matokeo yake unakomaa na unazidi kuwa mbishi nakukataa kuondoka kizembe.
Yamechuja yamebaki kuwa kero kwenye jamii badala ya kuchekesha yanatukera.
Hafii mtu hapa!
Yanga kashinda moja bila.Endelea kuwa mbishi, komaa hivyo hivyo. Walidhania wangefanikiwa kukutoa qafra matokeo yake unakomaa na unazidi kuwa mbishi nakukataa kuondoka kizembe.
Yamechuja yamebaki kuwa kero kwenye jamii badala ya kuchekesha yanatukera.
Hafii mtu hapa!
Na nyuki.Anaumwa na nini
Vengu mbishiEndelea kuwa mbishi, komaa hivyo hivyo. Walidhania wangefanikiwa kukutoa qafra matokeo yake unakomaa na unazidi kuwa mbishi nakukataa kuondoka kizembe.
Yamechuja yamebaki kuwa kero kwenye jamii badala ya kuchekesha yanatukera.
Hafii mtu hapa!
LioneeeHawa walimtukana mzee Mengi.laana ikawavaa.
View attachment 2243477
Naona umetaja na id ya kazi falla wewe🤣