Just a person
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 957
- 1,175
Wakuu Habari! Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na hii ishu ya kusafisha na kungarisha nyota.
Wadau ebu tuelezane faida na hasara zake maana huwa sielewi ni kwa ajili ya nini usikute ni muhimu😆, Maana kuna wanaotumia masheik kwa ajili ya visomo na waganga.
Pia mnaweza kutoa connection wenye uhitaji.
Na tanguliza shukrani zangu.
Wadau ebu tuelezane faida na hasara zake maana huwa sielewi ni kwa ajili ya nini usikute ni muhimu😆, Maana kuna wanaotumia masheik kwa ajili ya visomo na waganga.
Pia mnaweza kutoa connection wenye uhitaji.
Na tanguliza shukrani zangu.