Recent content by Chibingwa

  1. C

    JamiiForums Tanzania Pata kiwanja Chanika Buyuni, na Kibada KigambonI

    Ninacho block7 Buyuni, kina 1313sqm na bei yake ni 30m. Kama kuna mtu anahitaji tuwasiliane hapa.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta Ndama dume wa kisasa

    Naomba mwenye dume wa mwaka mmoja na nusu aina ya Boran anijuze bei yake na eneo alipo.
  3. C

    JamiiForums Tanzania William Mwamalanga: Napendekeza kura ya siri kuwataja wauaji wa albino

    Mwaka 2007, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Bukombe na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Bwana Magesa Mulogo ambaye kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa Mwanza alinukuriwa kama ifuatavyo: "Tumebaini siri nzito katika mauaji haya ya albino; na hasa baada ya kuweka mtego wilayani Kahama ambapo wahusika...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Plot for sale at Buyuni Chanika

    Sijapokea chochote kaka.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Plot for sale at Buyuni Chanika

    Plot for at Buyuni Chanika Ilala with clean title deed. Area size:1313sqm Block:7 Clean Title deed Price: Tsh 30,000 Call: 0784558677
  6. C

    JamiiForums Tanzania Askari wawili wa wanyama pori wauawa Runzewe

    ASKARI wawili wa jeshi la wanyama poli wameuawa jana jioni baada ya kupigwa na wananchi wa kijiji cha Nyamonge kata ya Runzewe wilayani Bukombe baada ya kuzaniwa kuwa ni majambazi. Baada ya askari hao kuuawa pikipiki waliyokuwa nayo iliteketezwa kwa moto. Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Investment In Livestock Industry

    Wakubwa naomba kutoa feedback ya huu mchakato wangu. Kwanza nianze kutoa shukurani zangu kwa wote waliochangia hii mada, pili niwashukuru wale wote walio weza kutoa mwongozo wa nini nifanye ili kufanikisha swala hili. Kimsingi nimeweza kutembelea mashamba yote yaliyopo katika mkoa wa Kagera...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Investment In Livestock Industry

    Serio, shukurani sana na nimesha ku pm. waweza nipatia namba yako au nipigie kwa hii namba 0784558677.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Investment In Livestock Industry

    Wakuu heshima zenu. Nina interest ya kuwekeza kwenye hii sector ya ufugaji either kwa kushilikiana na NARCO au na watanzania wenye blocks. Eneo liwe kwenye Kikula Ranching complex ambayo inajumuisha Kikula yenyewe, Kagoma na Mabale, eneo la pili ni Missenyi Ranch. Kama kuna mudau mwenye...
  10. C

    JamiiForums Tanzania DAF XF TRUCK Inauzwa

    Nauza gari yangu DAF XF truck ya mwaka 2003 pamoja na tera aina ya uchanja (Super single), gari iko safari kupeleka mzigo Kahama na iko poa sana. Vehicle Details: Make: DAF XF Model number: XF95 Registration: T714 CND Engine number: U39501 Engine capacity: 12600 Bei ni 55m kwa pamoja...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kinehe a bhanu mulimo umu?

    Unene nakigashaga Ng'wanza, nalimgeshesha badugubane mlimhola? unene nalimhola gete. Badugubane basukuma bichane nalemlomba tusomishe bana bise bose bakima na bagosha.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Lake Ngozi (Ziwa Ngozi) na simulizi za ajabu

    Lake Ngozi ni creater Lake na nilapili kwa ukubwa barani Africa (the second largest Creater Lake in Africa). Hili ziwa mzunguko wake ni mile 5.7 ambazo ni sawa na 9.2km. Joto lake kwa juu ni nyuzi joto 2000 (2000 degree centigrate) na inalifanya kuwa eneo mhimu sana kwa utafiti wa nguvu za umeme...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Viwanja Mbweni

    Ujazo wa 1258sqm bei yake ni ngapi?
  14. C

    JamiiForums Tanzania Si lazima mpaka wa nchi uwe katikati ya ziwa. Tutumie usomi wetu Tusimame kwenye ukweli

    Angaria hiyo Map then tuambie usomi wako unaonyesha mpaka uko wapi??
  15. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Bernard Membe kalipotosha Bunge kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa

    Wewe Mmalawi usitake kutufanya sisi wabongo hatujuwi haya mambo, kukufahamisha ziwa Nyasa kwa juu liko latitude ya 9 degree na dakika 40 kwa longitude ya 34 degree na dakika 15 (kwenye ramani ya QDS 273/2) ambayo inaitwa Lupila. Kusini ziwa liko kwenye longitude ya 34 degree na dakika 40 ambalo...
Back
Top Bottom