Lake Ngozi (Ziwa Ngozi) na simulizi za ajabu

Niliwahi kusikia kuwa Lipo ziwa linaitwa DULUTI huko Arusha maeneo ya Tengeru kuwa linaendana tabia na hili ngozi.
Hilo ziwa (Duluti) halitoi maji wala hakuna mto unaoingiza maji lakini iwe masika iwe kiangazi maji hayaongezeki wala kupungua, pia kina chake hakijulikani.
Sijui kitaalam hii ikoje.
Mkuu umenikumbusha pia ile chemchem ya maji ya moto pale Kondoa, nilielezwa kina chake hakijulikani, maajabu mengi nchi hii.
 
Ziwa hili liko Mbeya kwenye milima ya Uporoto. Linatajwa kuwa ni ziwa la pili kwa ukubwa katika maziwa yanayopatikana kwenye kreta Afrika.
Wenyeji wanalihusisha ziwa hili na imani za kishirikina.
Wanadai lilipigwa mawe na likahamishwa kutoka Masoko Tukuyu na kwenda kujikita Uporoto.
Sina mengi ya kuelezea na ninaendelea kufuatilia habari zake.
Naomba mwenye data zaidi atumwagie, ziwe ni za kiimani na hata za kisayansi pia.

Mimi nimesoma maeneo ya huko nlivyokuwa form 3 tulienda huko maana ya kuona crater lakes zilivyo. Kitaalam lile ziwa huwezi sema lilihama, maana ule mlima udongo wake ni majivu kabisa (lava). Na kusema kweli hadi kufikia kingo za maji yaani ni steep slop ambayo sehemu zingine inakulazimu kushika mizizi ya miti ndipo upate kushuka nayo, sijui labda kama kuna njia nyingine ila kwa njia tulopita sisi ni hatari sana. Na ukifika kwenye kingo zake huoni hata chini yaani anaesema aliogelea ni uongo maana kina chake kinatisha sana na sisi tulipewa condition kuwa tukifika tusiguse maji yake. Ziwa liko mbali na makazi ya watu hivyo halitumiwi kwa matumizi yoyote nyumbani wala shamba. Nakuhakikishia lile ziwa huwezi kuogelea kwa maana linatisha kweli. Yayo ndo niliyoyaona na kuyajua kuhusu lake ngozi (Ziwa ngozi)
 
[h=1]Projects[/h] [h=2]Overview of Activities in Tanzania[/h]
GPL currently holds six Prospecting Licences in Tanzania through its subsidiary Geothermal Power (Tanzania) Limited (GPT) and is actively inspecting potential in neighbouring countries.
Extensive geothermal investigation has been undertaken by European agencies in Tanzania resulting in the identification of an area near the city of Mbeya as having greatest potential. This geotechnically well-defined area exhibits both conventional geothermal and hot water potential.



[h=2]Mbaka Area[/h] Geotechnical results from GPT lease areas incorporating extensive hot springs (70 °C) along the Mbaka fault regions indicate thermal water of more than 160 °C at a relatively shallow depth (less than 800m) , located to the north of Lake Nyasa in southwest Tanzania. [more]

[h=2]Ngozi Area[/h] At Lake Ngozi, a conventional geothermal resource has been identified at less than 2,500 m depth with temperatures in excess of 220 °C and capable of supporting a 100 MW geothermal power station. [more]

[h=2]Rufiji[/h] The Rufiji geothermal lease area in central east Tanzania demonstrates geothermal potential as proven by a successfull exploration well (140°C). [more]
[url]http://www.gpl-international.com/projects


[/URL]
 
Lake Ngozi ni creater Lake na nilapili kwa ukubwa barani Africa (the second largest Creater Lake in Africa). Hili ziwa mzunguko wake ni mile 5.7 ambazo ni sawa na 9.2km.
Joto lake kwa juu ni nyuzi joto 2000 (2000 degree centigrate) na inalifanya kuwa eneo mhimu sana kwa utafiti wa nguvu za umeme (potential for geothermal exploration).
The lake lies along the East Africa's Rift Valley, "a giant trench stretching 6,000km from red sea to Mozambique, where two tectonic plate are slowly drifting apart.
 
Ulifuata nini huko!,
Wewe ni mtafiti! Kwa sababu bila kulipwa au kuwa na lengo la maana kama kujifunza huwezi fika huko, hakuna barabara nzuri ya kufika huko kileleni. Ni umbali wa Km nyingi, za kutembea kwa miguu,na kuna msitu mkubwa sana, na mwinuko na makorongo vilevile

Mbona kuna barabara inafika huko na unatembea kidogo wakati unapanda kilima then unashuka kidogo unafika ziwani.Mimi nimefika mwaka 2011,maji yake yamatumika na kuna watu wanaishi jirani.Pia kuna ziwa jingine dogo lipo jirani na hilo.
 
Kama ni cadela lake unaweza peleka maloli ata millioni ya mchanga ukashangaa bado haujaweza lifukia.
Kuna potential ya kulitumia kwa ajili ya geothermal power!


Wanasema halina ufukwe wala mahali pa kusimama ili kupima kina chake
 
ziwa hilo lina ingiza tuu maji na hali toi maji kwa sababu liko katikati ya milima alafu halina ufukwe kwani ukiwa ukingini kabisa uka jalibu kupima kuna ni parefu na haijulikani ni mita ngapi kwenda chini kwa hivyo huwezi kuogelea kwenye ziwa hilo lililoko maeneo ya upoloto ukiwa una toka Mbeya una shuka kituo kina itwa nymbe one alafu una tembea kilomita 12 ili kufika ziwani


Kama mambo yenyewe ndiyo hayo!! Big NO!! Nitembee Km 12 kwenda kujichinja!!
 
Mbona kuna barabara inafika huko na unatembea kidogo wakati unapanda kilima then unashuka kidogo unafika ziwani.Mimi nimefika mwaka 2011,maji yake yamatumika na kuna watu wanaishi jirani.Pia kuna ziwa jingine dogo lipo jirani na hilo.



Hebu nisaidie namna rahisi na salama ya kufika huko maana kuna member humu amenitisha anasema halina sehemu ya ufukwe kitu kinachoashiria usalama kuwa mdogo
 
Hebu nisaidie namna rahisi na salama ya kufika huko maana kuna member humu amenitisha anasema halina sehemu ya ufukwe kitu kinachoashiria usalama kuwa mdogo

Fika Mbeya mjini au Uyole. Panda gari ziendazo Tukuyu au Kyela. Shuka kituo kiitwacho number one.Eneo hili ndipo waliungua na mafuta ya petroli watu wengi miaka ya nyuma baada ya kuanza kukinga mafuta toka lori lililopinduka!. Hapa tafuta wazee wenye busara na wenyeji wakuelekeze taratibu za kwenda ziwani. Usiwe curious na kwenda peke yako kwa kutumia GPS,Google maps nk. Waliojaribu u kisasa hawakurudi!
 
Ni eneo zuri sana kutembelea lakini kufika kwake Ndio utasema yote
Kama ww ni kibonge usipange trip ya huko
Ziwa ni refu halijulikani kina but maji yake ni baridi na yametulia
Nilienda nikanawa kidogo hapo
 
ImageUploadedByJamiiForums1411310440.208082.jpg ImageUploadedByJamiiForums1411310483.928160.jpg
 
Mimi nimesoma maeneo ya huko nlivyokuwa form 3 tulienda huko maana ya kuona crater lakes zilivyo. Kitaalam lile ziwa huwezi sema lilihama, maana ule mlima udongo wake ni majivu kabisa (lava). Na kusema kweli hadi kufikia kingo za maji yaani ni steep slop ambayo sehemu zingine inakulazimu kushika mizizi ya miti ndipo upate kushuka nayo, sijui labda kama kuna njia nyingine ila kwa njia tulopita sisi ni hatari sana. Na ukifika kwenye kingo zake huoni hata chini yaani anaesema aliogelea ni uongo maana kina chake kinatisha sana na sisi tulipewa condition kuwa tukifika tusiguse maji yake. Ziwa liko mbali na makazi ya watu hivyo halitumiwi kwa matumizi yoyote nyumbani wala shamba. Nakuhakikishia lile ziwa huwezi kuogelea kwa maana linatisha kweli. Yayo ndo niliyoyaona na kuyajua kuhusu lake ngozi (Ziwa ngozi)

I second you mkuu. Wote wanasema waliogelea ni waongo wakubwa na sembuse hawajawahi kufika
 
Kwanza kiuhalisia linaitwa lake Ngosi sio Ngozi.

Nimefika mahala hapa ni mambo ya kisayansi tu hakuna maajabu au uchawi wowote. Nyingi ni story tu ambazo zimekuwa zikisemwa miaka na miaka ila hakuna aliewahi shuhudia, hata wazee wanao kaa karibu (japo kuna umbali wa kutosha) wanasema nao wamesikia tu ila hawajawahi shuhudia maajabu yeyote

Huwezi kuogelea kwenye lile ziwa. Yeyote anaesema kaogelea ni muongo mkubwa. Kushuka tu chini ili kushika yale maji Ku nahitaji umakini maana kuna steep slope. Maji hayawezi tumika for domestic use maana hata makazi ya watu yako mbali from ziwa let alone ile milima ya kupanda na kushuka kufikia maji
 
Back
Top Bottom