Mimi mwenyewe sitokaa nisimulie jema la huyu mwendazake maana katesa wengi nikiwemo Mimi! Huyu ingekuwa ni amri yangu sote tulioteswa nae iwepo siku maalum ya kwenda kulichapa viboko lile Kaburi lake.
Alinivunjia nyumba yangu kishenzi sana huku akijinasibu kuwa hatukumchagua...akaenda mbali...
Lipeni kwa wakati hao wadau wenu ili wanachama wa NHIF tusionekane vituko tufikapo kwenye vituo vya kutolea huduma. Maana kadi zetu za NHIF zinachukuliwa na watoa huduma kama MUFILISI tumeingia vituoni mwao.
Kama ipo miongozo mnayowapatia hao watoa huduma inakuwaje wao kukengeuka kuifata mpaka...
Wewe ndo haswaa mtu wa NHIF....
Kwenye hayo mapungufu mnamchukuliaje huyo mtoa huduma?
Miingozo anayo au hana?
Ni kweli mtoa huduma anaweza fanya huo usanii ili apoteze fedha zake?
Au ndo kumkomoa tu atajaza mwenyewe?
Na hicho unachosema analipwa kama huruma unamlimpa kwa wakati?
Analeta madai...
Hakuna kitu kama hicho ndugu. Natibiwa maemeo makuu ya afya hapa nchini ninachopata ni taarifa tu kuwa nimetibiwa. Lakini si kikokotoo cha gharama nilizotibiwa. Hizi za tiba napewa kwenye form tu. Lakini kiendacho huko ni tofauti. Labda kama wewe unalijua hilo basi utakuwa NHIF servant.
Najua...
Nimekuwa mdau muhimu kwenye hii taasisi inayojihusisha na huduma muhimu za Afya yetu watanzania. Kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia inayopelekea hii NHIF kuwa chaka la kupiga fedha za Serikali,nikimaanisha michango ya wanachana kuwa ni pombe ya ngomani kila mmoja anajichotea tu.
Kuna...
Wee utakuwa Chahali au umetumwa nae. Kuhoji Tundu Lisu kwa nini haongei,,,nyie ndio mliratibu mazungumzo yake kule Belgium!???
Keshamaliza kazi yake,Mbowe yuko uraiani.
So what?
Umesahau madhila tuliyoyapata wakazi wa kimara,mbezi,kibamba na kiluvya. Ile bomoabomoa aliifanya kisiasa tu...CHADEMA ilifanya wakazi sisi tuwe wakimbizi tu. Wengi tuliwazika kwenye janga lile. Ila kule kwake kanda ya ziwa wao walikula matunda ya nchi kwa kulipwa fidia zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.