Habari ndugu wa JF, najiuliza vijiswali vingi sana kuhusina na vazi la manesi wetu ambalo ni sare ya kazi.
Hivi ni kwanini mara nyingi huwa ni fupi sana kiasi kwamba akiinama, huko nyuma tunaficha macho wengine tunameza mate hususani hawa manesi wa kike.
Hivi wanavaa vazi fupi kwanini...
Kisa ni nini lakini? Ujue hata ukiwaza kufa napo ni dhambi. Muombe mungu yeye ndiye kilakitu na unaambiwa hakuna hali ya kudumu hayo yote ni mapito yatapitatu.
Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
Jamani ninasiku na miaka mingi nasikia neno kusagana kusagana, sielewi wanasagana nini haswa haswa wahusika ni rika gani. Pia wanasagana nini? Sielewagi kabisa kusagana kwa wanawake mwenye uelewa mpevu naomba anijuze kuwa inakuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.