Recent content by chia

  1. chia

    Nita-guess kipato chako

    Nitajie na mm kama kweli ni nabii.
  2. chia

    Mliobadili ID....

    Hahaha utawaona tu
  3. chia

    Faida muhimu zinazopatikana katika kufanya Meditation/Taamuli (Kisaikolojia)

    Hata mm nimeifurahia sana hii mada ipo vyema na ni kweli
  4. chia

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Mkuu hizo zilizopo air cooler kubwa zinaendaje
  5. chia

    Kanali Muammar Gaddafi (1942 - 2011)

    Safi sana the bold nakukukubali sana
  6. chia

    Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Kwahy kwa upande wako komandoo kama rambo au vandame anauwa yy tu na anakwepa risasi. Thamini cha kwako lazima tuwape haki yao wameonesha kwamba wanaandaliwa na wana mazoezi ya kutosha hii inatosha tiamini iwapo watapewa majukumu ya ulinzi wa taifa leo wapo tayari na wameandaliwa kwa hilo
  7. chia

    INAUZWA Matairi Mapya Ya Bridgestone Yanauzwa

    Mm nahitaji kuvua yote kwa rav 4 kili time
  8. chia

    Kuhusu English Test ili uweze kupata scholarship

    +249992273369 niunge na mm tafadhali
  9. chia

    Protokali: Kwanini Rais wa Uturuki, Erdogan alipokelewa na Waziri Mkuu badala ya Rais Magufuli?

    Pia sio kosa rais kumpokea mgeni wake sehemu tofauti na airport muhimu taratibu za kiitifaki zifuatwe katika mapokezi pale patapoonekana panafaa kama ikulu.nk kama ziara yake ni state visit atapigiwa na mizinga 21 kama ni ziara za kawaida hata hiyo mizinga hapigiwi
  10. chia

    Protokali: Kwanini Rais wa Uturuki, Erdogan alipokelewa na Waziri Mkuu badala ya Rais Magufuli?

    Hizo ni taratibu tu za kiprotocal hata alipokuja raisi wa Ujerumani alifika baada ya saa moja raisi hakuenda kumpokea na alipokelewa siku ya pili yake mtu viwanja vya ikulu mleta Uzi fanya utafiti kabla ya kuleta ujinga na unataka watu waamini ujinga wako
  11. chia

    Ambao hatujafanya mapenzi mwaka2017 tukutane hapa..

    Inawezekana kabisa mm Nina miezi mitatu sasa kila kitu kinawezekana
  12. chia

    Mshtuko wa ugaidi, 11 wanaswa Mwanza

    Inapaswa polisi wapewe mafunzo ya kutosha kumuaga maana ya ugaidi maana athari zake kubwa kwa nchi yetu kutangaza kifua mbele.hao ni wahalifu tu ambao wanapeana mafunzo
Back
Top Bottom