Mshtuko wa ugaidi, 11 wanaswa Mwanza

Mshtuko wa ugaidi, 11 wanaswa Mwanza

Hapo hamna ukweli kuna sikununu.....yaani mtama unamwagwa kwenye kuku wengi hivi hapo kuna kitu zaidi ya hiki.....kama siyo kutafuta umaaluf mmmmh....haya hongera kwa kuua maana ndo kazi ya Adolph hitler jr
 
Naomba niulize kwa wa Tanzania maana ya ugaidi tunaelewaje? Maana USA wanasema ni MTU yeyote anayepinga maslahi yao, sasa sisi tunamaanisha nini?
Ni wale wanao kamatwa na bunduki na mabomu afu waislamu ambao wanajiandaa kuleta shambulio ndio magaidi
 
Duuh ,! Hawa watu hatari sn ,, kuna watu wanaopiga DILI la kuwaingiza hao wahamiaji haramu hapa nchini petu,, hawa jamaa inabidi wajue ubaya wa hizi Dili zao za kipumbavu kutuingizia watu wa Ajabu hapa nchini kwetu.
Polisi wawe makini na hawa WAPIGA DILI za kuvusha wasomali na Waethiopia mipakani petu.
 
Inapaswa polisi wapewe mafunzo ya kutosha kumuaga maana ya ugaidi maana athari zake kubwa kwa nchi yetu kutangaza kifua mbele.hao ni wahalifu tu ambao wanapeana mafunzo
 
Back
Top Bottom