Katika serikali makatibu wakuu ndio watendaji wakuu wa wizara, in short mawazir wao ni walezi au wasimamizi lakin sio wataalam kitaaluma katika wizara zao, mikataba yote kabla haijasainiwa na wizara husik lazm ipite kwanza, kwanza kwanza kwa hao makatibu wakuu, , hivo wawajibishwe kwanza na kama...
Habari ndg walimu,
Naomba kubadilishana kituo cha kazi yeye aje Mkoa wa Rukwa manispaa Sumbawanga mimi nije, Kagera, Geita, shinyanga. Idara secondary. Masomo Phys na Chem
Mawasiliano: 0622133723
Ukishaomba majina yote yanajadiliwa na ofis ya kata, hizo taarifa unazotuma kweny mfumo ni kwend tu kweny data base ya nbs lkn hawa unaowakimbia kaa nao karibu ndg yangu, ukiwakwepa watakukwepa utaangukia tumbo
Ndg mheshimiwa,
a) naomba kuuliza ni miradi gan ya serikali utaiendeleza au kuistisha kwa faida ya wana jamii.
b) vipaumbele vyako katik taifa hili ni vipi haswa?
Habari ndugu,
Naitwa Hamduni Dauda Ibrahimu.
Napenda kuomba nafasi ya kazi katika nyanja ya ualimu kwa masomo ya PHYSICS na CHEMISTRY. Nipo mkoani Kagera ila niko tayari kufanya kazi mahala kokote nchini Tanzania.
Nawasilisha,
Mungu awasaidie.
Mawasiliano: +255622133723
Habari ndugu,
Naitwa Hamduni Dauda Ibrahimu, Napenda kuomba nafasi ya kazi katika nyanja ya ualimu kwa masomo ya PHYSICS na CHEMISTRY.
nipo mkoani Kagera ila niko tayari kufanya kazi mahala kokote nchini Tanzania.
Nawasilisha,
Mungu awasaidie.
Mawasiliano 255622133723
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.