Chezatena
Member
- Dec 26, 2019
- 12
- 5
Habari ndugu,
Naitwa Hamduni Dauda Ibrahimu.
Napenda kuomba nafasi ya kazi katika nyanja ya ualimu kwa masomo ya PHYSICS na CHEMISTRY. Nipo mkoani Kagera ila niko tayari kufanya kazi mahala kokote nchini Tanzania.
Nawasilisha,
Mungu awasaidie.
Mawasiliano: +255622133723
Naitwa Hamduni Dauda Ibrahimu.
Napenda kuomba nafasi ya kazi katika nyanja ya ualimu kwa masomo ya PHYSICS na CHEMISTRY. Nipo mkoani Kagera ila niko tayari kufanya kazi mahala kokote nchini Tanzania.
Nawasilisha,
Mungu awasaidie.
Mawasiliano: +255622133723