Mkuu cc. jemedary labda mimi uelewa wangu mdogo. ila accordinga to NBAA Accounting Programmes recognized by the Board ni bachelor in accounting/commerce/finance/business admn. labda kama bodi wanadanganya.
Najua humu jf ma-hr na wakurugenzi kadhaa wanaingia humu. Nina uzoefu wa miaka minne kwa kazi za kihasibu na ni kijana mchapakazi na mwadilifu. Nina shahada ya uongozi wa biashara.
contact: 0674167765. kwa aliye serious kunisaidia na Mungu atambariki.
kwanza wanisamehe wote walioni"pm". mimi ni mgeni humu kumbe kuna sharti kua ili pm iwe active natakiwa atleast niwe na post 5, mimi sikulijua ilo kwaiyo nlipotaka kumjibu mtu wa kwanza tu aliye ni-pm ikagoma. naomba mnivumilie mpk kesho ntakuwa na uwezo wa kuwajibu pm nlizonitumia.
Hoooooodi!mnikaribishe mie mgeni jamani.
Afu uzuri wa ugeni ni kuwa unapewa vitu vizuri vizuri, chakula kizuri sehemu ya kulala nzuri na maongezi mazuri mazuri.
Natafuta mwanaume, Mungu akipenda tuwe mume na mke.
Sifa;
-Ajiamini,
-Umri 28-35,
-Elimu kuanzia degree ya kwanza ila kama anajiamini hata form six inatosha.
-Awe amejiajiri au ameajiliwa.
-Dini awe mkristo.
Sifa zangu;
-Miaka 27, nina shahada ya kwanza.
-Mwajiriwa.
-Aliye tayari aje pm kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.