Wewe na mkeo wote hamna akili, yani umefanya research yako ukaona gari ya kumpa mkeo ukanunua safi kabisa, ukampa kipenzi chako, anatokea mwanamke wa Saloon tu ambae hana hata vits kama ulivyosema na story alizozisikia facebook kakuvuruga mpaka ukatafta dalali, daah
Naenda moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,
Hivi umejaribu kutumia hata dakika tano kumsikiliza huyu jamaa anaitwa Ezekia Wenje Mbunge Mstaafu wa CHADEMA wa jimbo moja huko Mwanza, jamaaa anajua na anajua tena. Jamaa akiwa anaongea unaona hadhira wanatulia kama wamemwagiwa maji, anajua jinsi ya...
Wanajamvi, salaam
Naenda moja kwa moja kwenye point
Hali halisi ya thamani ya pesa yetu inazidi kushuka kwa kasi sanaa ukilinganisha na miaka kadhaa iliopita, ukichukua takwimu za Benki kuu (BOT) kwa haraka tu utaona na kudhibitisha hayo, ukiangalia kwa mwezi July mpaka August 2020 utagundua...
Naimani kubwa wewe ni Mataga pro-max, yani kodi zinazoumiza wananchi na kupandisha gharama za maisha we unasema zitampa muasisi milage, kweli kuna kazi kubwa kuelimisha watanzania kuhusu elimu ya ulaia na uzarendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.