Recent content by cheskodisco

  1. C

    Kutana na harusi ya aina yake

    Huyu jamaa ni Wa nchi gani anaitwa nani
  2. C

    Bunga kiboko kwa wanaume "Dakika mbili"

    Inapatikanaje weka contact zako
  3. C

    Eti kama haukuwa kati ya shule hizi, we ni kilaza ?

    Niesoma Usagara A level 1987 to 1989 naomba namba ya group ya mmojawapo nakumbuka Galax, Bibi, Mzee Juma Masamkara ,Moringe , headmaster wa wiki Mr saliboko Mr Keto
  4. C

    Dr. Kigwangalla hapa umechemka! Huku sio kufikiria hata kidogo

    Kuna haja ya Rais kuwapa semina elekezi Mawaziri wake ili kuboresha utendaji kazi sababu baadhi ya Mawaziri wamekuwa wakitoa baadhi ya amri ambazo hazitekelezeki
  5. C

    Nimezaa na mke wa Mtu

    subiri mtoto azaliwe ukapime DNA
  6. C

    Nina wasiwasi kama kweli kutumia Fedha za Muungano kujenga barabara kunakuza uchumi

    Msongamano wa magari unasababisha watu kuchelewa kazini kwenye maeneo yao ya biashara kununua bidhaa nje ni jambo la muda mfupi lakini ukijenga barabara utakuwa umezesha uchumi wa mtanzania kwa muda wote umeokoa muda wake wa kufika eneo la kazi na atakuza uchumi wa Taifa
Back
Top Bottom