Niesoma Usagara A level 1987 to 1989 naomba namba ya group ya mmojawapo
nakumbuka Galax, Bibi, Mzee Juma Masamkara ,Moringe , headmaster wa wiki Mr saliboko
Mr Keto
Kuna haja ya Rais kuwapa semina elekezi Mawaziri wake ili kuboresha utendaji kazi sababu baadhi ya Mawaziri wamekuwa wakitoa baadhi ya amri ambazo hazitekelezeki
Msongamano wa magari unasababisha watu kuchelewa kazini kwenye maeneo yao ya biashara kununua bidhaa nje ni jambo la muda mfupi lakini ukijenga barabara utakuwa umezesha uchumi wa mtanzania kwa muda wote umeokoa muda wake wa kufika eneo la kazi na atakuza uchumi wa Taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.