Bunga kiboko kwa wanaume "Dakika mbili"

Bunga kiboko kwa wanaume "Dakika mbili"

Ukipaka kweny macho hupati usingizi pia?
Nikiwa na nafikiria nitapataje pesa ya kula mchana huu huwa napitia JF kujiliwaza kama hivi aisee we mtu umefanya mpaka watu wananiona chizi kwa kicheko
 
Ukitaka kupata utajir wa haraka sema unatibu nguvu za kiume
Au unatibu kuchelewasha kufika kileleni
Wengi utawakamata
 
Asalam wakuu
Binafsi naamini kuwa tatatizo la nguvu za kiume ni la kisaikolojia zaidi kuliko tunavyofikiria.

sasa hapa mtaani kwetu nilipita kwenye kijiwe cha kahawa chenye mchanganyiko wa wazee na vijana. nikakuta kuna dawa inauzwa. nikauliza dawa hiyo inatibu nini ndipo nikajibiwa kuwa dawa hiyo ni ya kuongeza muda wa kufanya tendo. kwamba dawa hiyo unaipaka kwenye dushe two hours before the action. baadae unaenda kufanya mapenz. Inaweza kuchukua more than 30min uko juu ya kifua cha mwanamke bila hata mpango wa kumwaga. Dawa hii wengi wanaitumia ili kuridhisha wake zao au wapenzi wao hasa wanawake japo kwa kweli kuna hatari ya kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi na magonjwa mengine kwa sababu hata upatapo michubuko si rahisi kugundua kwa sababu mzee wa kazi anakuwa na ganzi.

Dawa hii hutumiwaje?
Unapaka dawa hii kwenye dushe two hours before the action. Sasa hapo mzee wa kazi anapata ganzi. So unapomuingiza katika papuchi hasikii mtekenyo wowote bali ni kama mti tu usiohisi jambo lolote. Dawa hii ni maalumu kwa wale wanawake ambao hawaridhishwi na waume zao aka "wanaume dakika 2" "2minutes men".
Angalizo ukikutana na dawa hii jua tu kuwa haitumiki kukuongezea hamu la hasha bali kurefusha muda wa kumgegeda mamsapu.

Dawa hii inaaminika kutoka katika misitu ya watu wa kongo ambapo inaaminika kuwa mwanaume kumridhisja mwanamke ni jambo la kawaida sana.

Nb: Mimi si muuzaji wa dawa hiyo japo kama uko mkoa wa kigoma naweza kukuelekeza inapouzwa kwa bei chee tu.
Mkuu umesahau kutoa tahadhari kabla ya matumizi wapime magonjwa ya moyo wasijefia vifuani mwa watu na kuwaletea mikosi.
 
Nothing new, Vumbi la mkongo hilo,
Jus tried once, Ni kitu matata sana ila haina raha maana niliheeenya mwisho wa siku nilimchosha tu mtoto wa watu nikaishia ushindi wa 1-0
 
*salamubzenu....
*naamininibkuwa...
*kunabdawa....
**kumridhisja...
**wanaume ambao hawaridhishwi na waume zao...

Utadhani unakunya nje... Tulia.. Andika kwa umakini...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
wewe katoto una mdomo mchafu makosa ya kiuandishi ndo unamtukana mwenzio hivyo? ungepita kimya
 
Mlidanganywa na babu wa Loliondo mkanywa kikombe kwa maelfu. Kiko wapi sasa? Achaneni ni hizi dawa za kuibuka. Ukosefu wa nguvu za kiume ni wa kisaikologia kwa asilimia kubwa na pia unachangiwa na lishe isiyo sahihi. Unadhani ukishindia chips na pombe kila siku utabaki na nguvu za kiume baada ya miezi kadhaa? Wapi. Na kama uliye naye sio mkeo na hayuko katika usafi wa kuridhisha au mazingira ya kukufanya ufurahi nguvu zako za kiume zitabaki? Haipo hiyo.
 
Tunapoelekea huko,tutaambiwa hata mavi yanaongeza nguvu za kiume, na watu kama kawaida watakula.
 
Wengine wanatamani wangekuwa wanamwaga kila baada ya Dk 2 kwasababu ndiyo utamu wenyewe sasa
 
Kunya ni kutukana???? Wewe huwa hunyi!!!!!

Acha kuleta habari za KIJINGA wewe!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
mkuu mimi kama mtoa poat naomba kusema mazingira uliyotumia hili neno si ya kistaarabu na hvo linakuwa tusi. tujitahid kutopaniki na kutoa maneno ya maudhi.vww are all great thinkerd.
 
Nothing new, Vumbi la mkongo hilo,
Jus tried once, Ni kitu matata sana ila haina raha maana niliheeenya mwisho wa siku nilimchosha tu mtoto wa watu nikaishia ushindi wa 1-0
mbona hamsemi linakopatikana na sie wa dakika 2 tujaribu
 
Asalam wakuu
Binafsi naamini kuwa tatatizo la nguvu za kiume ni la kisaikolojia zaidi kuliko tunavyofikiria.

sasa hapa mtaani kwetu nilipita kwenye kijiwe cha kahawa chenye mchanganyiko wa wazee na vijana. nikakuta kuna dawa inauzwa. nikauliza dawa hiyo inatibu nini ndipo nikajibiwa kuwa dawa hiyo ni ya kuongeza muda wa kufanya tendo. kwamba dawa hiyo unaipaka kwenye dushe two hours before the action. baadae unaenda kufanya mapenz. Inaweza kuchukua more than 30min uko juu ya kifua cha mwanamke bila hata mpango wa kumwaga. Dawa hii wengi wanaitumia ili kuridhisha wake zao au wapenzi wao hasa wanawake japo kwa kweli kuna hatari ya kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi na magonjwa mengine kwa sababu hata upatapo michubuko si rahisi kugundua kwa sababu mzee wa kazi anakuwa na ganzi.

Dawa hii hutumiwaje?
Unapaka dawa hii kwenye dushe two hours before the action. Sasa hapo mzee wa kazi anapata ganzi. So unapomuingiza katika papuchi hasikii mtekenyo wowote bali ni kama mti tu usiohisi jambo lolote. Dawa hii ni maalumu kwa wale wanawake ambao hawaridhishwi na waume zao aka "wanaume dakika 2" "2minutes men".
Angalizo ukikutana na dawa hii jua tu kuwa haitumiki kukuongezea hamu la hasha bali kurefusha muda wa kumgegeda mamsapu.

Dawa hii inaaminika kutoka katika misitu ya watu wa kongo ambapo inaaminika kuwa mwanaume kumridhisja mwanamke ni jambo la kawaida sana.

Nb: Mimi si muuzaji wa dawa hiyo japo kama uko mkoa wa kigoma naweza kukuelekeza inapouzwa kwa bei chee tu.
Mtafia vifuani
 
Kuna jamaa yangu aliwahi kuniletea kutoka kongo buree, ILa likanishinda Nikaligawa kwa watu tu, Next tine akiena nitamuagiza alaf nitajua unalipataje
usisahau mkuu manake jamaa wanatupiga chenga ukiwauliza jinsi ya kupata.
 
Back
Top Bottom