Recent content by CHESEA INGINE

  1. C

    JamiiForums Tanzania Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

    Mwenye mali ghafi ni mimi yeye ana mitambo.Kwa nini isiwe 50 kwa 50? Huyu mwekezaji recovering period ya uwekezaji ni miaka mingapi? Au iwe hiyo 30 baada ya recovery period iwe 50 kwa 50. Maoni yangu.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Nathaniel kufahamishwa tu yake maturities maji ya kijani yalienda wait?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Bunge lasimama kujadili na kutoa azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kuimarisha Demokrasia na Diplomasia ya Uchumi

    Wangeongeza kuridhia majadiliano ya Katiba mpya.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Anne Makinda: Wakati naingia bungeni 1975 niliikuta Stiegler's Gorge lakini sikujua ni mdudu gani, Hayati Magufuli alikuwa jasiri sana

    Napendekeza liitwe BWAWA LA JOHN POMBE MAGUFULI kwa kuthubutu.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Serikali: Wanaoanza Biashara kutolipa Kodi ya Mapato kwa muda hadi wa mwaka mmoja

    Ingependeza zaidi wapewe miaka 3 mpaka 5 kama wavyopewa wawekezaji wa nje. Hi itawapa hamasa wazawa.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

    1. Hatupendani 2. Umimi. 3. Uzalendo haupo 4. Undugu nization umetamalaki.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Umaskini wa nchi yetu nani alaumiwe?

    Ni viongozi
  8. C

    JamiiForums Tanzania Marekani yatangaza Bajeti ya ULINZI ya Tsh. Trilioni zaidi ya 1,780 mwaka huu

    Mbona sasa anaogopa kumfusha MRUSI huko Ukrain badala yake yeye na NATO wanambwekea tu? Mimi naona kuna kitu anacho Mrusi Mmarekani na Nato wanakiogopa.Si bure!
  9. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunakwama wapi? Inakuaje tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwenye Miundombinu bora ya Barabara?

    Hi nchi yetu ni kubwa sana ukilinganisha na hizo nchi. Utakuta huzi tulizojenga kwa uchache wake zitaenea eneo kubwa la hizo nchi. Bado tuendelee kuikumbusha Serikali watimize wajibu wao
  10. C

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua utofauti uliopo kati ya gari "manual" na "automatic" kifaida na kihasara. Na pia naomba kujua kiundani kidogo dondoo za RAV 4 manual

    Kitaalamu manual inatumia mafuta kidogo kuliko automatic. Mifumo ya automatic yote ni umeme na ili vyote vitende kazi vizuri mafuta yanatumika zaidi.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Mimi ningependa kutoa ushauri ufuatao; Kwamba ruzuku isipewe Kanda ambayo mezani kwao kuna maombi ya wateja wanaotaka kufungiwa umeme.Wapewe wale ambao wamekamilisha hilo zoezi Kama ana maombi ambayo hayajashughulikiwa atoe maelezo kwa nini hawajatekeleza.Hi itasaidia kupunguza mlundikano wa...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Ntamkumbuka kwa haya:1 Bwawa la umeme (Lingeitwa kwa jina lake) 2.Reli ya SGR. 3.Barabara. Nchi itafunguka vizuri.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Katiba ya nchi ifundishwe kuanzia Shule ya Msingi na kuendelea

    Hoja yangu hapa ni kwa uelewa wa katiba utaanzia chini kabisa katika shule na italeta tija kwenye yafuatayo: 1. Uzalendo wa nchi ya hicho kizazi utakuwa wa hali ya juu kwa kuifahamu katiba ya nchi yao. 2. Huu mtindo wa kufungua vilabu vya kuchukia rushwa havitakuwa na tija nzuri kama...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Demokrasia inavyodumaza Maendeleo Afrika

    Tu Turudi kwenye utawala wa kichifu Nakabila yenye nguvu au wote kwa ujumla wao wamteue mmoja atawale. Biashara iishie hapo. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. C

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia ngazi zote za elimu, ili tukomboke kifikra

    Naiunga mkono hi hoja! Kwa yale maneno ya kitaalamu ya vitu au vyombo viandikwe kwa jina hilo hilo kwa matamshi yetu. Siyo dhambi. Hi dhana ya wataalamu wetu wa Kiswahili kukaa chini na kutafuta neno la kiswahili mfano computer iitwe kompyuta lakini nsikilizie majina yanayotengezwa mapya ni...
Back
Top Bottom