CHESEA INGINE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 200
- 46
Hoja yangu hapa ni kwa uelewa wa katiba utaanzia chini kabisa katika shule na italeta tija kwenye yafuatayo:
1. Uzalendo wa nchi ya hicho kizazi utakuwa wa hali ya juu kwa kuifahamu katiba ya nchi yao.
2. Huu mtindo wa kufungua vilabu vya kuchukia rushwa havitakuwa na tija nzuri kama mwanafunzi angaielewa katiba ya nchi yake.
3. Somo la Katiba liwe na umuhimu wake na kwamba kama mwanafunzi hakupata alama nzuri wataalamu wetu waje na suluhisho nini kifanyike asipewe cheti au iweje.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Uzalendo wa nchi ya hicho kizazi utakuwa wa hali ya juu kwa kuifahamu katiba ya nchi yao.
2. Huu mtindo wa kufungua vilabu vya kuchukia rushwa havitakuwa na tija nzuri kama mwanafunzi angaielewa katiba ya nchi yake.
3. Somo la Katiba liwe na umuhimu wake na kwamba kama mwanafunzi hakupata alama nzuri wataalamu wetu waje na suluhisho nini kifanyike asipewe cheti au iweje.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app