Tatizo ni hao hao watia saini wanataka cha juu sasa humu ndani wanahofia unoko ni hayo tu vinginevyo watanzania wanaweza kuendesha mwendo kasi kwa ufanisi mkubwa tuu,
Kwenye hili naamini yuko clean kipindi kile cha list of shame alikaa kimya maana yake aliogopa kujiumbua zaidi lakini sasa hataki kuchafuliwa bure over
Mi ndo nasubiri kidogo kipoe, afu kasi ya kula hicho chakula najijua mwenyewe kuna mtu aliniuliza mbona unakula haraka hivyo? Jibu simple, yaani nitafute pesa kwa tabu hata kula tuu iwe kwa tabu na taratibu noo siwezi.
Hahaha ha wapigaji kama wapigaji wamelengana wenyewe kwa wenyewe niko pale [emoji117][emoji117][emoji117] na pocon [emoji897] zangu naangalia mwisho wake[emoji23][emoji23]
Tunafanya utapeli pokea pesa baadae unaweka sheria ya kuzuia mapenzi jinsia moja pambafu kabisa. Pumbafu dawa yake jeuri, tapeli kwa tapeli, mwizi mwenzake mwizi,
staki ujinga ujinga wanangu wazikose pisi kali, kisa wamekuwa mashoga Mungu pishia mbali kabisa na kizazi changu na ushetani huu.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji4][emoji4][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kubwa jinga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.