Mbona hata hao ambao sio singel mothers...baadhi Yao wakiolewa bado wanaendelea kukumbushia na ma ex boy friend zao.. .so naona ni tabia ya mtu....kama mtu anajitambua vizuri hawezi kufanya hicho unachokihofia...kwa hyo relax...Endelea kuombea ndoa yako Amani itawale...
Pole my dear...wala usijihukumu wala kukata tamaa ......kikubwa weka tumaini lako kwa MUNGU...naye atatenda...ataondoa kila aina ya magumu unayopitia....naomba usikate tamaa...bali mlilie MUNGU kwa kumaanisha na yeye atakuitikia....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.