Je, Ataweza nisamehe?

Je, Ataweza nisamehe?

Duuu huyu jamaa muuaji kabisa mungu akulaani kabisa si bora utumie ndom kuliko kutoa toa mimba
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana ila katika mahusiano yetu ilitokea siku moja nilikuwa na mihemko kweli kweli nikafanya mambo na ndio siku aliopata mimba ila tulikuja flash na tukaendeleza maisha.

Ikaja ikatokega nyingine hapo ndo akawa mkali ikafikia kipindi akataka tuachane sababu akiendelea kuwa na mimi nitakuja kumtoa kizazi nikamuomba msamaha yakaisha ila amekuwa akitumia ile sababu mara kwa mara kuninyima papuchi yake.

Now amenikimbia kabisa ubaya zaidi nilimwambia mimba umenisingizia baada ya kuja sikia alikuwa na katabia ka umalaya bila kuwa na uhakika now hataki mazoea na mimi kabisa na bado nampenda natamani funga nae ndoa.

SIJUI NIFANYAJE
ni haki yake kukumbia, we unapanda mbegu then unamwambia atoe? kaona huna malengo. kama unamtaka mtolee mahari na mfunge ndoa ataona kweli unampenda. mkono mtupu haulambwi uncleee
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana ila katika mahusiano yetu ilitokea siku moja nilikuwa na mihemko kweli kweli nikafanya mambo na ndio siku aliopata mimba ila tulikuja flash na tukaendeleza maisha.

Ikaja ikatokega nyingine hapo ndo akawa mkali ikafikia kipindi akataka tuachane sababu akiendelea kuwa na mimi nitakuja kumtoa kizazi nikamuomba msamaha yakaisha ila amekuwa akitumia ile sababu mara kwa mara kuninyima papuchi yake.

Now amenikimbia kabisa ubaya zaidi nilimwambia mimba umenisingizia baada ya kuja sikia alikuwa na katabia ka umalaya bila kuwa na uhakika now hataki mazoea na mimi kabisa na bado nampenda natamani funga nae ndoa.

SIJUI NIFANYAJE
Zidi kusihi kuna siku atakuelewa tu
 
Kama ilikuwa hutaki watoto si ukaoe mwanaume mwenzio wamejaa kibao fb ya nini kumharibia kizazi mtoto wa mwenzio.
Hujui unachotaka maana ushakana mimba, ushamuita malaya na hapo hapo unajidai unampenda. Watu kama nyinyi ndo mnatia dosari jina la wanaume wote.
Hiv ungejickiaje kama angekuwa ni mama ako baba ako amekataa mimba??? Halafu unaonyesha una roho ya kinyama yan umeshirik dhambi ya mauaj na unakuja kusema mbele ya kadamnas? Nenda katubu kanisan kwanza halafu ndo urud hapa.
 
Ana tabia ya kaumalaya na unataka kumuoa Fanya uchunguzi kwanza ujiridhishe.
 
Epuka hz ishu za "nilisikia" zitakucost kila cku kwny mahusiano...
 
Back
Top Bottom