mkuu ukitaka kujua ukweli wa mtu kwako pata matatizo utaona utakavyosemwa vibaya kuna mambo mengine mpaka wewe mwenyewe huyajui ila kutokana na matatizo utayajua tu
inategemeana mkuu shida inakuja pale kiapo kinapoingia dosari kwa mtu mmoja kumsaliti mwenzake wanawake tunaamini mwanaume akipata mafanikio anasahau kabisa alikotoka anaangalia mbele tu lakini linapokuja suala la matatizo hapo mke ndo anatakiwa ayabebe hayo matatizo
Pole mkuu sio kila mwanamke anathamini wapi katoka/katolewa na mtu huyo ukimfuatilia sana atakupa a sad story ambayo itakuwa kichapo tosha katika maisha yake
unajua ifike sehemu tusionekane siye ndo tunamakosa sana ikitokea mwanamke kakosea sio kila mwanamke haridhiki wengine wanafundishwa na waume zao kutoridhika
hapa mwanamke akijua kuwa Rav 4 kapewa Entim lazima adate na ukute anamuamini sana mwanaume wake kinachofuata hapo itategemea na mwanamke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.