Recent content by Chepeti

  1. C

    Msiba: Mtambuzi amefiwa na Mama yake mdogo!

    Pole sana mtambuzi kwa msiba,kazi ya mungu.MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI
  2. C

    Kwa wale wenye nyumba ndogo - soma hapa

    Hiyo debate ya nyumba ndogo ni ngumu,ukizungumzia wako kimaslai zaid4,kwa kiasi flani sio sahihi,hawajitongozeshi hawa,halafu mbaya zaidi waume zetu ndio wanawapa advertisment wenyewe,tukumbuke hamna asiyependa pesa maisha haya
  3. C

    Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    Jamani kunawengine wanavyoandika kwa uchungu kujibu mashambulizi wanafikiri ni dawa ya kutibu hilo tatizo la nyumba ndogo,hizo zipo tu hatunaujanja nazo,
  4. C

    Job resign

    Du we ni noma,we ni mtunga mashairi ning
  5. C

    Kuna faida za nyumba ndogo?

    Ila tukumbuke nyumba ndogo ni binadamu kama sie,na wakati mwingine kosa linakuwa la waumezetu,
  6. C

    Kuna faida za nyumba ndogo?

    Du Kama hivyo ndivyo basi nyumba ndogo ni noma,nyumba kubwa tubadilike,tusifanye mazoea,tujitahidi kuboresha ,kesho fanya zaidi ya jana.Ingawa kwa upande mwingi hawa watu pia huwa hawaridhiki,kila ukijitahidi,pepo la nyumba ndogo likishamwingia basi,ukiigundua hii anatafuta nyingine.Msaka gamba...
  7. C

    Kuna faida za nyumba ndogo?

    Jamani tukubali tukatae nyumba ndogo zipo,bora hili lijadiliwe ili tujue huko nje ni kitu gani wanafuata,na sisi tulio ndani tufanyaje,tunahitaji maada zaidi za nyumba ndogo please,boss upo,
  8. C

    Kuna faida za nyumba ndogo?

    Wewe unaeongea hivi inaonyesha ndio unatisha kwenye hili,mungu ndie anayekuona
  9. C

    Kuna faida za nyumba ndogo?

    Nakuunga mkono kongosho,nyakati hizi ukishakua na mume ujua swala la mke mwenza huwezi kuliepuka,hayo mambo hata kwetu yaaaaaapo
  10. C

    New comer

    Anny kumbe na ww mwenyeji huku..umekua mkubwa sasa
  11. C

    Hivi wanaume tukiamua kuwa na mmoja mmoja si itatokea vita?

    Mmm!mi sina chakuchangia,ila ukweli unabaki palepale hamna mwanaume mwenye mwanamke mmoja,ukubali ,ukatae.
  12. C

    Nifanye Nini Ili Nimsahau!!

    Njoo kwangu nitakusaidia jinsi ya kumsahau pls
  13. C

    karaha na utamu wa vigonela..................

    ukiwa na tattizo hili ni noma hata shughuli nyingine hazifanyi ,hasa pale unapojua kabisa kunamtu anaweza akakutatulia hili tatizo.ukiwa huna mtu kabisa ni rahisi kulipotezea kwani huwezi kutamani kula maini wakati unajua kabisa pesa ya kununulia hayo maini huna. Acheni masihara hii kitu ni...
Back
Top Bottom