Shida ni kwamba anaweza akapigwa na 'stroke' halafu akaanza kuwapa shughuli ya kumhudumia upyaaaaa....ingekuwa uhakika kwamba "ataamsha" chap kwa haraka hapo ungesema poa tu wamkaushie!.
Hapo ni kweli inabidi acheze pata potea.
Mimi nilidunda na ALITOP karibia miaka miwili baadae nikawaachia madogo sasa hivi nipo na HAIER inaenda mwezi wa sita sasa na bado inadunda tu.
Umenikumbusha magazeti ya Alaasiri na Dar Leo...
Utakutwa kichwa cha habari "OSAMA AKAMATWA"!.
Ukisoma ndani kumbe aliyekamatwa ni bwana Husein Sharif a.k.a OSAMA wa Mtoni kwa Azizi Ali!!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.