Enzi za Mwalimu miaka ya 1970's, pale Bwawani Hotel Zanzibar (wakati huo ni hoteli ya kitalii pekee mjini ZNB), walijaribu kuhifadhi nyama ya Bata Mzinga (Turkey) kwa muda mrefu. Basi, watalii kibao walipata food poisoning kali mpaka ikawa habari ya kimataifa. Kweli kuweka vyakula muda mrefu na...
Hongera kwa Mh. John Pombe Magufuli kuchaguliwa na wananchi kuwa Rais, na Mh. Mama Samia Suluhu kuwa Makamu wake.
Akina Mama, pigeni vigelegele! Tumepiga hatua kwa Mama Samia Suluhu kuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa nchi katika historia ya Tanzania!
Akina Mama Juu, Juu Zaidi! :A S crown-2:
Yaani niliposoma taarifa kuhusu kifo cha Mh. Deo sikuamini macho yangu! Ilibidi nipige simu TZ kuuliza kama ni kweli. Rest in peace Mh. Deo Filikunjombe Mbunge wetu wa Ludewa. Waliomtangulia kuf wakiwa Mbunge wa Ludewa ni Mh. Horace Kolimba na Prof. Dk. Crispin Che-Mponda Hauli. Rest in...
Tanzania should really work on improving the quality of it's International airports. It's the first thing an international traveler sees and usually is the first impression.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.