Jamani kuzungumza kingereza sio issue sana, ndio maana ukienda kusoma ufaransa, uchina, urusi na kwingineko utasoma kwa lugha za kwao. Ukijua kingereza kuombea maji kinatosha.
Kwa hilo Mh. Rais hakuwatendea haki wateule wake hasa kwenye suala la wamachinga wa Mwanza, ameliamua kisiasa zaidi kuliko kisheria. Kiujumla amewapa wakati mgumu sana watendaji wake. Kwenye suala la wachimbaji wadogo namuunga mkono.
Ukweli ni kwamba, tendo moja la ndoa ni sawa na kukimbia km kati ya 7 hadi 10, hivyo unachoka sana hasa kwa wenye umri wa miaka kuanzia 45 na kuendelea. Na kama mnabisha basi yeyote kati yenu afanye tendo hilo mara tatu, halafu aende akafanye kazi yoyote ngumu kama ataweza.
Kauli ya wengi ni kweli kabisa. Dada zenu ni warahisi mno kama kule kwetu kuna wamakonde. Wana msemo wao "chalumbile Mungu chakumemena" maana yake ni alichoumba Mungu ni cha kula.
Ni wewe mwenyewe, ila kila kabila lina tatizo lake, ila nijuavyo mimi makabila mengi ya kanda ya kati, ni wepesi sana hawajui kukataa mwanamme. Hivyo ndio desturi yao kuhusu tabia zingine sijui.
Tafadhali kijana mke sio bikra, mke ni sawa na msingi wa nyumbani kwa maana msingi ukiwa imara basi na nyumba itakuwa imara. Hapo namaanisha kuwa msingi ndoa ni tabia yake kama alifanya kosa huko nyuma lakini tabia yake nzuri basi haimwondolei kuwa mke bora. Hivyo msamahe tu ni mambo ya dunia...
Hii "kashfa" Mchungaji Lusekelo alias Mzee wa Upako, Bulldozer, tingatinga na kiboko ya mapepo atachomokaje?<br /><br />Mzee wa Upako amekumbwa na kashfa ya ulevi na kuleta vurugu kwa majirani zake huko Kawe nyumbani kwake,jirani na ilipo Radio Times.<br /><br />Inaandikwa katika mitandao kuwa...
Hivi mnaijua hiyo inayoita T-bill au Govt Bond inavyofanya kazi au kukurupuka na kuropoka tu. Ni serikali inapohitaji pesa kutoka kwenye mzunguko ndio inatoa (issue) hizo T-bill au Govt Bond. Lakini taasisi za fedha zinapohitaji pesa za kuongeza mitaji yao zinatakiwa kukopa kutoka Benki Kuu...
Hata mahubiri yake huwa yanaukakasi pale anapobeza, watu masikini au hohehae, na anasema eti mchungaji aendeshe PASSO, huwa nawaangalia wale waumini wake wanapomshangilia huwa najisemea kweli watanzania uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo mno sio kwenye imani za kidini wala siasa ilimradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.