fenestra rotunda
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 608
- 614
Kijana kwanza umeandika habari yako kwa povu kweli,then umeishia kufanya personal attack badala ya kutoa mada yenye critical thinking and still you call yourself a great thinker!!??sijui umetumwa o umejituma.na hili liliwacost sana uchaguzi uliopita mlipospend almost your entire campaign kuponda wapinzani wenzenu,mkajisahau sana na kumwachia adui nafasi ya kujinadi na kumpa ushindi kiulaini na naona ndo siasa unazoendeleza humu..time will tell that ulikuwa uko bize kupost ujinga badala ya kukinadi chama chako kwa njia nzuri,mwisho mtaangukia pua kama last time.