Binafsi nimepita SOB na postgraduate SOPAM Dr. Mwakasungula ni mmoja kati ya hazina kubwa kwa taifa pamoja na Dr. Lyatonga bila kumsahau Dr. Kinemo, wote hawa ni wanawake wa shoka kutoka Mzumbe University.
Pengine mleta mada ana mambo yake personal ndiyo maana kaja kumchafua Daktari apa jukwaani.
Naona Silinde umeanza kujisafisha katika harakati za kuelekea November 2025, ila kama umechelewa ivi si unajua yule aliyewapokea wasaliti hayupo tena. Alafu hapo lumumba kuna wenyeji watakuoneshenyi waamiaji rangi zote mwaka huu.
Nimewafanyia wanafunzi wengi application wengine wamepata batch 1 na wengine hawakupata ila account zao zimebadilika leo, pia kuna wengine account zao zimekataa kuwa hawaku submit application.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.