Nimejaribu sana kutafuta dojo ya jiujitsu lakini sija pata bahati kwa hapa Dar. Nilienda mpaka ubalozi wa Brazil labda watuunganishe na Master wa Brazilian Jiujitsu lakini sikufanikiwa. Jiujitsu origin yake ni Japan lakini napenda ile ya Brazil. Sijui kuna anaye jua wapi wanafundisha kwa hapa Dar?
Juzi nilsoma uzi humu jf kuhusu huu mradi na nilijua nimesoma vibaya nilipoona hiyo kampuni imepewa mradi wa bagamoyo. Lakini kama sikosei hii kampuni ilitaka kujenga hizo gati mbili kwa $250 million lakini TPA ilitaka kuchukua mkopo wa $500 million kutoka Exim bank.
Hii kampuni china merchant si ndio ile iliyomng'oa Mh. Nundu au nimesoma vibaya??Imekuaje wamepewa tena kujenga bandari ya bagamoyo?? Siasa za bongo bwana.
Haya ndio mambo ya kuanzisha vitu bila ya proper planning. Idea ilikua nzuri lakini ingebidi waboreshe infrastructure ya hizi treni ili kupunguza matatizo wanayopata watu hivi sasa kama huu wizi. Inabidi wachukue hatua haraka kusimamisha huu wizi amasivyo hii treni haiwezi hata ku break-even.
Hii issue imenigusa mpaka nimeamua kuweka my first comment. Mimi nipo kwenye the same situation in the sense that mpenzi wangu amenizidi umri kwa miaka 2 na tunapendana na kuheshimiana kuliko hata nilivyokua na mpenzi wangu wa zamani ambaye nilimzidi ki-umri. Kama kweli unampenda kwa dhati na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.