Kila simu ina udhaifu wake na ubora wake hakuna simu ipo perfect kabisa kushinda nyingine. Ndio mana matumizi na mapenzi ya utumiaji simu yamegawanyika. Kuna baadhi ya nchi unakuta hakuna watu wanaopenda samsung. Wao ni iphone na kuna sehemu unakuta wenyewe ni samsung lakini iphone hawana time.
Ukiona fundi kafungua Iphone 6,6plus au 7 kwa ajili ya kubadili kioo, alafu badae Fingerprint haifanyi kazi. Hapo fundi anakuwa alikosea kwenye kuhamisha ila button ya fingerprint.
Kuna hitaji umakini kiasi kwenye kila kazi unayofanya hasa kwenye kubadili kioo.
Hakikisha unapo maliza kufungua...
Ujiji kuna Nyumba za Nyasi ungeweka Picha kama ushahidi. Mana kigoma mjini asilimia kubwa nyumba zina bati. Hizi research ambazo haxina evidence ni Abunuas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.