Recent content by checheitworks

  1. C

    Samsung wajifunze kwa Apple

    Kila simu ina udhaifu wake na ubora wake hakuna simu ipo perfect kabisa kushinda nyingine. Ndio mana matumizi na mapenzi ya utumiaji simu yamegawanyika. Kuna baadhi ya nchi unakuta hakuna watu wanaopenda samsung. Wao ni iphone na kuna sehemu unakuta wenyewe ni samsung lakini iphone hawana time.
  2. C

    Samsung wajifunze kwa Apple

    Ukiona fundi kafungua Iphone 6,6plus au 7 kwa ajili ya kubadili kioo, alafu badae Fingerprint haifanyi kazi. Hapo fundi anakuwa alikosea kwenye kuhamisha ila button ya fingerprint. Kuna hitaji umakini kiasi kwenye kila kazi unayofanya hasa kwenye kubadili kioo. Hakikisha unapo maliza kufungua...
  3. C

    The king makers

    Thebold huko watsaap ni kiasi gani kujiunga?
  4. C

    Behind the curtain: September 11

    Jamani hizi story mbona mimi sipati nisome niende wapi
  5. C

    Behind the curtain: September 11

    Mkuu nakuomba na Mimi uni Add please
  6. C

    Hii ndio Kigoma halisi, ukisikia nyingine ujue photocopy

    Ujiji kuna Nyumba za Nyasi ungeweka Picha kama ushahidi. Mana kigoma mjini asilimia kubwa nyumba zina bati. Hizi research ambazo haxina evidence ni Abunuas
Back
Top Bottom