Samsung wajifunze kwa Apple

Samsung wajifunze kwa Apple

Sasa ulishawai kuona mtu anauza samsung af akasema Finger print
Mkuu acha uongo, hizo ni zile fake fake au zimefanyiwa screen replacement, mim niko n iphone 6 mwak wa pili sasa na hakuna hilo tatizo, pia simu yenyewe nilinunua used na mtoto kila siku anapambana nayo kuiangusha mpaka home button inacheza cheza lakini fingerprint bado iko poa kabia.
 
Huwa nakaa na simu mwaka au zaidi ikibidi na sijawahi kutana na hilo tatizo. Fuatilia unazosema zimekufa touch id utagundua ni zile walizofanyia screen replacements. Zaidi ni vile vya mtaani kwa vioo vya bei nafuu na mafundi wasio na weledi na kazi hiyo.
Kama ndo ivo ulishawai kuona wapi mtu anauza Samsung au brand nyingine tofauti na apple af akasema Finger print ???? Huo ndo ubovu wenyewe tunao sema. Kwann mtu akireplace kioo ife Touch ID
 
Sidhani kama kuna ukweli wowote kama ukiizoea iPhone huwezi hamamia android nani anaependa kununua miziki
 
Kulipuka kwa note 7 inaweza kutokea kwa manufacturer yeyote, pili heart rate sensor kwako inaweza ikawa haina faida lakini kumbuka kuna watu wenye matatizo ya moyo kwao inafaida sana na mtu anaweza akanunua simu kwasababu ya hicho kitu tu.
shida siyo simu kuwa na heart rate sensor.... shida ni hiyo sensor kutokuwa accurate kabisaaaa
 
Yaaani apple funboys nanyinyi mmeanza kuwa na majungu.

Yaani unakuja hapa kutaja simu za miaka minne/mitano nyuma kweli!!!

Tech inabadilika na kuboreka kila siku,ndio maana hata apple kwa sasa wamekuza screen na kuweka dual sim,ingawa mliponda sana.
s8 nazo zinachora mstari wa pink.... au hujui kama ni simu ya mwaka jana???.... au mwaka jana bado ni zamani?
 
Sasa kwanini ife wakati wa replacement,na wakati ni swala la kawaida matengenezo??
inaonekana ww hujawahi peleka simu kwa fundi halafu huyo fundi akaiharibu... you are talking like unawaamini sana mafundi wa kibongo wakati wengi wao ni wanazingua hatari
 
Iphone x
Some-Apple-iPhone-X-units-have-a-strange-green-line-running-down-the-edge-of-the-display.jpg

s8 nazo zinachora mstari wa pink.... au hujui kama ni simu ya mwaka jana???.... au mwaka jana bado ni zamani?
 
inaonekana ww hujawahi peleka simu kwa fundi halafu huyo fundi akaiharibu... you are talking like unawaamini sana mafundi wa kibongo wakati wengi wao ni wanazingua hatari

Kwanini wasiharibu hata speaker ila homebutton!!!??
 
Kwanini wasiharibu hata speaker ila homebutton!!!??
Ushaambiwa kwamba home button ipo integrated kwenye motherboard...


hivi umeshawahi hata kufungua simu yoyote kwanza maana nisije nikawa napoteza tu muda wangu bure....
 
Samsung kuna kitu inapaswa wajifunze kutoka kwa wapinzani wao apple inc,nasema hivi kwa sababu haya ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu juu ya kampuni kubwa kama hili kuwa kila siku wanafanya mambo ya kukurupuka.

Samsung imekuwa ni kampuni inayoweka vikolombwezo viiingi kwenye simu hali ya kuwa havina hata umuhimu wowote ule bali ni ujanja wa kumkamata mteja,nitarudi nyuma kidogo tukumbushane na tuje sasa ili kuona ni lini Samsung atajifunza?

Yafuatayo ni mambo ambayo Samsung anapaswa kujifunza.
-Waache kuweka hardware/software features kwenye simu zao amabazo ni useless.
-Waache kuweka feature kabla ya kuzifanyia re-search ya kutosha(Kukurupuka)

Useless features.
Tazama face unlock kwenye Samsung galaxy s3/note 3 n.k.
Japo ni simu ya zamani lakini kampuni kubwa kama hii inapaswa kuona mbali zaidi,haina ubishi Samsung galaxy s3 ilifanya mapinduzi makubwa ilipotoka june 2012.
Moja ya feature iliyokuwa nayo hii simu ni pamoja na face unlock,nashindwa kuelewa kwa nini samsung waliweka hii feature,accuracy yake ni mbovu sana nadhani iliwekwa kuwatoa ushamba watu ili kuwapiga pesa vizuri.
maxresdefault.jpg

Face unlock Samsung kwanza waliiweka nadhani hata hawakuifanyia re-search,hii feature kwenye Samsung ilikuwa inaweza kuwa tricked na picha ya kwenye karatasi.
Samsung ilikuwa kwenye competition na apple iPhone lakini sikuona hiko kitu kwa iPhone mpaka tulipokuja kushuhudia kwenye face id yenye security na kutumiwa kwenye payments.
Ni moja ya feature ya kipuuzi ambayo Samsung waliziweka.

Features zingine ni kama smart scroll ile inayo track eye balls zako ukiwa unasoma na smart stay ile inayo pause video ukitazama pembeni.
Sijashuhudia hizi feature kwenye iphone kutokana na kutokua na umuhimu,hata kama tukiuliza watu 100 wenye note 3 tuwaulize wangapi wanatumia smart scroll 10 hawatofika.

Heart beat rate sensor kwenye Samsung galaxy note 4
Samsung hawakuchoka kuweka mapambo kwenye simu zao na sasa ni heart beat sensor ambayo nimeitumia binafsi na haina accuracy,sasa sijui wanaweka kwa nini?
Kuna watu niliona mtandaoni wana complain heart rate sensor inasoma mpaka 150 bpm,hivi ukifikia hii stage utakuwa hata unaona kweli?
Mimi binafsi nilitest unaweza kusoma 67 sasa hivi baada ya dakika ukiweka inasema 104 baadae tena inarudi 65.
this is complete a joke.
Sensor ipo kwenye apple watch ambayo acccuracy yake ni 97%, ambapo hata iphone x haina heart rate sensor.
p1060377.jpg


Kulipuka kwa Samsung galaxy note 7
Samsung kwa mara ya kwanza walisema kuwa ilikuwa ni shoti kwenye circuit na battery lakini baada ya watafiti kufanya hili jaribio kwa hivi vifaa kwa kutumia safe batteries bado simu ilikuwa inachemka sana hivyo kupelekea galaxy note 7 kukatazwa rasmi katika matumizi.
Tatizo lilikuwa kwenye power management features,hii ni simu ya kwanza kabisa kwa Samsung iliyokuwa na USB-C na ilikuwa ina charge only 35 minutes na tayari imejaa,pia ilikuwa na charge ya kawaida kama convertor.
Tatizo lilikuwa ni tokana na uzembe kama vile kuweka 3500mah battery kwenye simu yenye 7.9mm thin, pia kulikuwa na manufacturing problems,nadhani hapo unaona battery ilivyobanwa,yote hii ilikuwa ni kuipa maisha marefu simu katika matumizi ya battery.

Uzembe huu ulipelekea over heating na simu kuripuka ovyo hivyo kuwa hatari zaidi kwa watumiaji.


Pink line
Tuache mambo ya zamani,je Samsung wamejifunza nini nyuma?
Nadhani mmeshuhudia baadhi ya simu hasa s7/s6 edge zikiwa na pink line kwa pembeni mara nyingi upande wa kulia,mara ya kwanza niliona simu ya rafiki yangu nikadhani labda aliiangusha lakini nilizidi kuona watu wa karibu yangu tena kama wa 3 nao simu zao zipo hivyo ikabidi ni fanye re search ndogo kwenye mtandao,sasa huko nilikuta watu wengi wakilalamika hasa kwenye forums za samsung nao simu zao zipo hivyo wala hawajawahi kuziangusha wala kukalia simu bahati mbaya.
Pink line of pixels down edge screen - Android Forums at AndroidCentral.com
Kulikuwa kuna njia tofauti tofauti za ku fix na mara nyingi ilikuwa ni hardware problems,watu wengine ilibidi wazitume Samsung ili kusudi warekebishiwe.
aHR0cDovL21lZGlhLmJlc3RvZm1pY3JvLmNvbS81L1kvNjQ2OTE4L29yaWdpbmFsL215Y2Utc2Ftc3VuZy1nYWxheHktczctZWRnZS1waW5rLWxpbmUtZGlzcGxheS5qcGc=

Binafsi sijafuatilia tatizo linasababishwa na nini lakini hili limetokea ghafla baada ya Samsung kuingia kwenye vioo vya edge,nahisi hawakufanya pia re-search ya kutosha na walikurupuka kama kawaida yao.

Binafsi siku Samsung wakijua kutengeneza simu nitatumia lakini bado wana safari ndefu hasa kushindana na kampuni kama iPhone.
Nimenunua note 7 2016 imelipuka 2017 nanunua edge inaleta pink line utanishauri nini?niendelee kutumia Samsung?

View attachment 865705


Kuna vitu vingi sana bado sijavizungumza mungu akipenda nitaendelea...............
Iphone 6s & 6s plus bending test hatari sana unasemaje kuhusu hili
hqdefault.jpg
 
Ushaambiwa kwamba home button ipo integrated kwenye motherboard...


hivi umeshawahi hata kufungua simu yoyote kwanza maana nisije nikawa napoteza tu muda wangu bure....

Umeanza kupanick nini sasa!!!kifupi unachart na fundi simu.

Haya una swali lingine???,kifupi hujui hata nini unaandika.
 
Umeanza kupanick nini sasa!!!kifupi unachart na fundi simu.

Haya una swali lingine???,kifupi hujui hata nini unaandika.
Kama ww ndio fundi simu basi naomba niishie hapahapa.... ndio maana siwezi peleka simu yangu kwa takataka kama nyie....
 
Ushaambiwa kwamba home button ipo integrated kwenye motherboard...


hivi umeshawahi hata kufungua simu yoyote kwanza maana nisije nikawa napoteza tu muda wangu bure....

Ukiona fundi kafungua Iphone 6,6plus au 7 kwa ajili ya kubadili kioo, alafu badae Fingerprint haifanyi kazi. Hapo fundi anakuwa alikosea kwenye kuhamisha ila button ya fingerprint.
Kuna hitaji umakini kiasi kwenye kila kazi unayofanya hasa kwenye kubadili kioo.


Hakikisha unapo maliza kufungua kioo una test speaker na fingerprint kama viko sawa huo ndio ufundi.
 
Kila simu ina udhaifu wake na ubora wake hakuna simu ipo perfect kabisa kushinda nyingine. Ndio mana matumizi na mapenzi ya utumiaji simu yamegawanyika. Kuna baadhi ya nchi unakuta hakuna watu wanaopenda samsung. Wao ni iphone na kuna sehemu unakuta wenyewe ni samsung lakini iphone hawana time.
 
Ukiona fundi kafungua Iphone 6,6plus au 7 kwa ajili ya kubadili kioo, alafu badae Fingerprint haifanyi kazi. Hapo fundi anakuwa alikosea kwenye kuhamisha ila button ya fingerprint.
Kuna hitaji umakini kiasi kwenye kila kazi unayofanya hasa kwenye kubadili kioo.


Hakikisha unapo maliza kufungua kioo una test speaker na fingerprint kama viko sawa huo ndio ufundi.
Halafu kitu kingine watu wanasahau kwamba cases za iphone kubadili vioo ni nyingi huenda kuliko hata simu ya aina nyingine yoyote... na hilo ni kwa sababu uwepo wa iphone zenye icloud nyingi mtaani na hivo watu kuziuza kama spear... kwa hiyo mtu simu yake ikicrack kdg tu anaingia mtaani.... na hapa ndo fingerprints nyingi zinazingua....
 
shida siyo simu kuwa na heart rate sensor.... shida ni hiyo sensor kutokuwa accurate kabisaaaa

Haipo accurate wakati ina accuracy ya 95% to 99%. Lakini hazitumiki kama diagnosis tool ni kwa ajili ya matumizi binafsi.
 
Back
Top Bottom