Inawezekana kama form four ulikuwa umesoma physics na ulifaulu pia ikizingatiwa kwamba masomo mengine pia ulifaulu walau kwa ufaulu unaohitajika, kitu kingine kwanin ulisoma EGM na kwanin sahivi tena unataka PCB? Kwanin upoteze mda hivyo kasome clinical medicine miaka 3 kisha baadae utakula MD...
Habari zenu wakuu, kama inavyojieleza hapo juu nina kitv changu hapa cha Sundar na kisabufa cha Seapiano ila tangu ninunue hivi vitu nikiunganisha tv na bufa kunakuwepo na kutokutoka kwa bass ya bufa yaani hata kama napiga mziki nasikia sauti ya Twitter (spika) tu.
Naomba kuuliza kunaweza kuwa...
Kupata one PCB haukufanyi wewe usome kile unachokitaka au unachokipenda, inategemea una one ya ngap na vip kuhusu competition
Mfano kwa PCB taker walio wengi wanataka wawe madaktari na hawakumbuk kuwa hapo lazma uwe uko kwenye vigezo stahik lakn siyo kupata one tu. Mfano mtu mwenye one ya 9...
Mkuu BVM Kwa huo ufaulu wako hutapata maana wanachukua mwisho 1 ya 9 mara chache sana kukuta 2 tena za 10, cha msingi nenda kasome hiyo diploma tu au kasome ualimu
Mkuu hapo mm sjaona kosa maana umesema umempenda kitu ambacho tumeagizwa pia kwamba tupendane ko hamna shida, ila kama umempenda ukimaanisha unataka papuchi yake hapo jiandae tu kuelekea kunako Wanaume wa nguvu
Hapo mzee hawez pata MD maana kwasasa vyuo karibia vyote wanatumia vigezo sawa kudahiri na pia ukizingatia na competition. But ajaribu tu hata vyuo vya nje anapata kiurahis kabisa bongo siasa nyingi
Dogo chamsing hapo wewe nenda shule kama unataka PCB kasome mambo ya unataka kuwa nani utajua mara baada ya kufaulu ule mtihan ACSEE, kwasababu unaweza enda a level na malengo kibao lakin ukaja kuishia kusoma tu diploma kitu ambacho unakuwa umepoteza mda wako mwingi kisa tu ulitaka kuwa mtu flan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.