chazdlamarck
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 256
- 92
Habari zenu wakuu, kama inavyojieleza hapo juu nina kitv changu hapa cha Sundar na kisabufa cha Seapiano ila tangu ninunue hivi vitu nikiunganisha tv na bufa kunakuwepo na kutokutoka kwa bass ya bufa yaani hata kama napiga mziki nasikia sauti ya Twitter (spika) tu.
Naomba kuuliza kunaweza kuwa kuna tatizo wapi au mimi kuna kitu sielewi hapo wakuu?
Naomba kuuliza kunaweza kuwa kuna tatizo wapi au mimi kuna kitu sielewi hapo wakuu?