Imeandikwa: WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA: Wengi wanapenda miujiza ya papo kwa papo baada ya maombezi wanaendelea na maisha yao ya dhambi lakini hawataki kumpokea Yesu katika maisha yao, Hakuna linaloshindikana mbele za Mungu, Kifo hakijawahi kuwa suluhisho LA mtu kuishi vizuri kama...
Mt. 10 wakaja wanafunzi wake wakamwambia kwanini husema nao kwa mifano? Anajibu ninyi mmejaaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni bali wao hawajui... Kwamaana kila aliyenacho ataongezewa na asiye nacho hata kile alichokuwa nacho hatanyang'anywa.. Kwa maana wakitazama hawaoni... Hata wakisikia...
Nimekwambia yeye amwaminie hatakufa milele katika roho ina maana akifa katika mwili ataenda mbinguni... Ni kweli hata yule asiye mwamini kufa kwake ni kwenda kwenye ziwa la moto.... Yaani atakuwa amekufa milele... Tafsiri maandiko usisome kama kitabu cha kawaida.. Ndio maana Yesu aliwafundisha...
Unatafsiri maandiko kiakili na sio kiroho katika ulimwengu wa roho hutokufa kabisa na fahamu kabisa Mungu ni Roho na maisha yetu ya kimungu yapo kiroho ndo maana ukifa baada ya mwili kubaki duniani unakuwa roho kwahiyo utaishi milele ukimfuata yeye.
Ukitafsiri maandiko: "kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele" ina maana hata ukifa utaendelea kuishi milele katika roho hutoenda jehanam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.