Recent content by Chata Uchebe

  1. Chata Uchebe

    Wanawake wanaongoza kwa usaliti?

    Nimekupenda bure!
  2. Chata Uchebe

    Eneo lipi zuri kula raha na mpenzi wangu mpya Dar, niwapo likizo fupi?

    Viwanja vingi tu wee njoo ujionee mwenyewe!
  3. Chata Uchebe

    Nchi inakwenda vizuri sana, wasiomwelewa Rais Magufuli hawafiki hata 1 %

    Kutuambia kwa maneno tu kuwa nchi inaenda vzr wakati mtaani watu wana hali mbaya inakuwa ngumu kukuelewa mkuu!!
  4. Chata Uchebe

    Kwa wale waliowahi kutoa mahari halafu wakatamani/wakaingia mitini

    Utapeli gani tena hapa mkuu!? Hebu tufungue tuelewe vzr,yasije yakatukuta!! Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
  5. Chata Uchebe

    Irene Uwoya ampa onyo kali Dogo Janja kuhusu mpango wake wa kuoa wake wanne

    Mwacheni ale vyake jamani,mbona safi tu!!
  6. Chata Uchebe

    Aina za hasira za wanawake

    Ww unanifaa,nyie ndo mkiliaga mnazidi kuwa wazuri!!
  7. Chata Uchebe

    Mpenzi ana Hasira akikasirika ni matusi na ugomvi mkubwa

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Gudume noma!
  8. Chata Uchebe

    Inakuwaje Paka hodari wa Tanzania ya leo wanashindwa kukamata Panya mmoja msumbufu?

    Tatizo mtani,Paka na Panya wameungana lao limekuwa moja!
  9. Chata Uchebe

    Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    Sijakuelewa mkuu,funguka vzr hapo!
  10. Chata Uchebe

    Nabii Olivia akiri kumuamuru muumini wake kupiga kelele kama ishara ya kupokea neno

    Hahahaa Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
  11. Chata Uchebe

    Nyie Clouds -mada ya masturbation mnayorusha sasa hivi hamuoni mnahamasisha?

    Hahahaa! Kweli mkuu Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
  12. Chata Uchebe

    Nyie Clouds -mada ya masturbation mnayorusha sasa hivi hamuoni mnahamasisha?

    Jambo la muhimu hapo ni kuzingatia lugha tu,kwani watoto wa siku hizi hata uelewa wao ni mkubwa kuliko sisi tunavodhani! Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
  13. Chata Uchebe

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Vp mkuu una experience na hayo mambo!?
Back
Top Bottom