Totally fallacy... Uzi wa hovyo hawa mods sijui wanafanya kazi gani siku hizi. Hao MDH wanafanya kazi cooperating with the Govt hasa wizara wa Afya NGO nyingi hasa masuala ya afya huwa na mkono wake hasa kama implementing Partners kwa kushirikiana na wadau lakini namna ya ufanyaji wa kazi govt...
Hili ni suala nyeti, Rukwa tofauti na sehemu nyingine ina rasilimali zifuatazo ambazo ni unexploited mpaka leo.
Rukwa inaweza kusave DR Congo upande wa Karemii ambayo bandari yake ya Kasanga inajengwa sasa ilihitajika kupunguza population ya Tunduma kwa kufungua fursa hii adhimu kwa watanzania...
Nzuri sana hii mkuu kazi kubwa ni kupima uwezo wa elimu ya mgombea husika katika kuifanyia kazi jamii yake hii inaenda sawa na kuunganisha ujuzi wake na mazingira halisi ya hiyo jamii.
*WASIFU WA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KWELA -RUKWA 2020*
Jina Deus Clement Sangu
mzaliwa wa kijiji cha Laela wilaya ya Sumbawanga (V) mkoa wa Rukwa.
*SIFA ZA KITAALUMA*
1. Shahada ya uzamili ya uongozi na utawala(Masters of Arts Governance and Leadership MA GL ) chuo kikuu Huria Tanzania-...
Habari wanajamvi.
Kwa wale mliofanya interview za internship data entry MDH kuna yeyote ambaye amepigiwa simu ya kuitwa kazini, anae jua tunaomba atufahamishe.
Kwa wale wanao anza biashara wanahitaji kufanya utafiti wa kina na kuweka misingi mizuri ya kuifuata ili biashara iweze kurejesha faida basi, tupo tayari kukuandikia
MPANGO BIASHARA kwa bei nafuu kulingana na uhitaji wako. Kwa wenye kuanzisha miradi na wana shida ya kuandikiwa PROJECT PROPOSAL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.