Epuka na faini zisizo na lazima kwa kutumia mashine bora ya kisasa ya Efd machine toka Pergamon. sasa kwa bei ya laki 590000 badala laki 8 utapata machine yako..na unajua nini kingine cha kuvutia kuhusu machine hizi unaweza kwenda mbali na ukwamwachia mtu dukani huitaji kuogopa atakuibia au...
ebwana mambo vipi]
naweza kujua gharama kwa kilo moja na gharaa ya tani moja unaweza kuniuuzia sh ngapi..na je ka pia unaweza kunipa gharama za usafirishaji toka mtwara kuja dar kwa fuso au gari lolote kwa tani moja ni sh ngapi
Inawezekana huyo mtu unaenda kumvisit sijui ana shidaaa au anasoma afany kazi so wanamashaka we utaoshi vipi kuleeee....maana kuwa na bank statement sio shida wabongo wanaoneshaga statement kumbe hela kaazima akifika kule anarudisha lakin kingine hio milion 30 umetengeneza kabla angalau ya miez...
Pata machine ya juice ya miwa ya umeme bado mpyaaa bei poa kabisa 700000 tu imetumika mwezi mmoja tu ....machine ni ya umeme ipo katika hali nzuriiii no ya
Piga simu 0717178455
bei laki 7 tu
Piga simu 0717178455
Nenda ubungo pale opposite na shekilangooo kule nyuma kuna makampuni ya kichina mengi sana wanauza machine za kufyatulia matofali kila aina pale na kila aina machine nyingine xa ujenz
Kampuni ya ck product ya dar_es-salaam tegeta tunapenda kuwafahimisha wale wote wa penzi wa pilipili kaliiii yaani hot chill na pilipili isiyowasha sana yaani mild chill ck tunasupply pilipili kwenye maduka mbalimbali ya pilipili kwenye masupermarket bakery maduka ya jumla maduka ya rejareja...
Pata shamba lenye hekari 30 linauzwa mkuranga limepimwa lina minazi zaid ya 10 mananasi na mpunga matikiti na mazao na mikorosho zaid ya 20 lipo mkuranga bei ni poa kwa zaid tuwasiliane kwa
simu 0717178455
Ebu fafanua kidgooo ikiwezekana tuwekee televishen gani ukiwa nacho unaweza ukazipata na pia fafanua unaposema akitumii malipo ila kinatumia bando ya nini tigo airtell halotel au voda.na je tunapataje na sh ngap tuwlezeee kidogooo mkuu maana na mimi nilikuwa.natafuta kingamuz
Sasa nenda kaulize mahali kama machine ya miwa mpya hata zile za kuetengeneza kariakooo ni sh ngapi shida sio jinsi material waliounda kaka lyamber shida vile vifaaa vya kutengenezea machuma motor zile.na vitu vingine ni gharama bro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.