Nataka kwenda kuwekeza hapo UTT... UNIT TRUST OF TANZANIA........ kwa ambae anawafahamu zaidi hawa majamaa naomba anijuze zaidi.... Vipi hamna magumashii na uswahili??
Habari zenu wadau,
Naomba kuuliza kwamba hii kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology ambayo inasemakana inatolewa chuo kikuu cha UDOM tu.
Je mtu akisoma kozi hii ndio anakuja kuwa nani akimaliza au atafanya kazi zipi za kuajiriwa???
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.