For those who are interested to teach us english and those who want to learn english together join our group using the link below.
https://chat.whatsapp.com/IS028zfKN6HGfQCMNEvs6z
Ndugu zangu wanajamii foram na wasalimu salamu za kimakinika. Mimi charity. Ninapenda sana kujifunza, kujua na kukuza uwezo wangu katika kuzungumza na kutumia lugha ya kiingereza.
Nimatumaini na iamani yangu kwamba hapa jamii foram kuwa kunawatu wanajua vizuri lugha hii vizuri na nipo tayari...
Mimi pia napenda kujiboresha katika lugha hiii. Kwa upande wangu naona nivyema tukaunda group la wasap tutakalotumia kujifunzia lugha hii ya malikia pia tukipata wadau ambao ni manguli katika lugha hii kutoka hapa jamii forum itakuwa poa.
Mimi naona itakuwa ni kitu poa sana tukitengeneza group ya wasap kwa ajili ya kuamasishana na kusoma vitabu kama mpo tayari andika neno kitabu tuma kwa namba 0655230513
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.