Kamanda vipi mimi ni mwalimu wa masomo hayo naweza kupatikana kwa mawasiliano haya 0655230513Kama una degree ya ualimu na masomo yako ya kufundishia ni Physics na Chemistry kuna kazi ipo manispaa ya musoma.,njoo Pm nikupe maelekezo
Amekwambia uende pm huoni kama unadisclose personal information zako hapa?Kamanda vipi mimi ni mwalimu wa masomo hayo naweza kupatikana kwa mawasiliano haya 0655230513