Pamoja na jitihada za upatikanaji wa maji Dar... Lakini umekuwa ni Jambo la kawaida maji kukatika kwa masaa karibu kila siku.. eneo linalopata maji kwa mgao ni maeneo jirani na hotel ya best point, Zambezi, na maeneo kuelekea external.
Haieleweki na haijaelezwa Nini tatizo na lini litaisha...
Naanza kwa kusema MUNGU mkubwa na ashukuriwe.
Naanza kwa kusema majambazi ni watu wabaya Sana tena ni hatari, Binafsi nilikuwa na sehemu yangu ya biashara na nikianzisha biashara ya stationary nikavutiwa na biashara ya kuuza vocha za simu kwa jumla...
Siku ya siku ikafika mchana wa saa 8:30...
Kwa siku tano mfululizo maeneo haya umeme ifikapo jioni unakatwana bila taarifa kwa sisi wateja labda Kama tangazo Hilo sijalisikia.
Maeneo ya ubungo Mandela Rd kuanzia external, maziwa, hadi darajani unaotazamana na rivaside.
Pamoja na kuwa jirani kabisa na mitambo ya umeme ya ubungo...
Pamoja na kuvumilia nainua mikono na kaachana nao.
Sababu ni nyingi kwanza badala ya kuendeleza vivutio ili wateja waendelee kuwepo mmeamua kupunguza ofa. Mnamfahamu kabisa kwamba watu wanatumia internet zaidi kwa bando za ofa nyinyi mmegandamiza tshs 1000 kwa MB 500.
Pili nimewahi kutuma...
,kamma alipita DsM air port basi wafuatiliwe wote waliokuwepo kazini siku hiyo watoe maelezo kwa nini wao hawakukamata mpaka mtu akamatwe huko ?ashariki ya mbali
Nasema si haki wala halali kwa wanaofanya biashara kupitia neno la Mungu.
Kuna kampuni inatangaza kwamba kutakuwa na kwaya mbalimbali zitakazotumbuiza wakati wa xmas lakini kiingilio kwa high table ni 50,000/= Jamani kwa Mungu kuna high table? Kumtukuza Mungu mpaka niwe na pesa zote hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.