Kwaio ww unashaur ningefanyaje maana mama kaja pale kashavimba kila jibu ntalompa yy analigeuza kuwa la shar nimemjibu nimenfananisha ananijibu sio yy na bra bra kibao
Nilikuwa smart na simu nilikuwa na samsung A10 nilikuwa very smart maana uko najoe nilikuwa nafuata gambe lengine na sina sura ya kihuni
Yaan ata sielew huyu mama alitakaje
Weeh !! Kipind naomba namba mtoto anataka aiandike ndio nashangaa tumevamiwa "namba yke ya simu ya nn ww nn ambacho mm simpi nyiny ndio wale vijama mnachezea watoto wa watu na makelele kibao "
Habarini wana Jamii Forums leo nimeona nishare na nyinyi hii mda maana wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki kabisa.
Kuna siku niko kwenye basi maeneo ya majohe hapa SSM sasa nikakutana na dada mmoja kazur balaa ikabidi nianze kutafuta timing nikasema huyu kituo chochote akishuka nashuka nae...
Hii itakuwa kwel maana ni misukosumo tu toka siku ya kwanza nakumbuka baada ya kusex nae eti akaanza kunilaumu eti nimemkojolea nikamwambia acha ufala nenda bafuni ukaoge uyu inaonekana mimba alishaibeba mda so akatafuta game ili arishie huku sasa kaja kukuta mm mbish kila cku ni bra bra tu
Huyo si ndio dokta majibu basi si aende huko maabara akatumbue maana kwa vyovyote tu kosa ni lao km mashine mbovu walishindwaje kujua afu pia kisayansi mashine zoOte kabla haijanunuliwa lazima ifanyiwe test sasa imekuaje hz ni propaganda tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.