Wazanzibar wamebakia kwenye huu muungano kwa sababu wao ndio wanufahikaji wakuu
Leo hii muungano ukivunjika, Zanzibar hawana cha kupoteza
Wana kila kitu ila Tanganyika hatuna cha kujivunia tutaanza mwanzo kabisa kama nchi inayozaliwa upya
Tanganyika haina
-jeshi
-serikali
-mahakama
-wimbo wa...
Nchi nyingi zilozoendelea wamewekeza vyema kwenye ulinzi(jeshini)
Ukichukulia mfano marekani, urusi au China
Hawana maigizo kuhusu masuala ya ulinzi
Kama wanajua hawawezi kuwaajiri hao vijana jeshini kwa nini wanawasajili kwenye mafunzo hayo ya JKT
Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) hili ni sehemu...
Kuna internal genetic behaviour amabazo kiasili tumezipoteza kama wanadamu
Tupo tu kama mazezeta bendera fata upepo
Kuanzia viongozi wetu hadi wananchi
Tupo kama; manyani
Nyani anacheka kindule la mwenzake, kitu asichikifahamu kumbe wote wanakundule zinazofanana.
Sent from my VFD 301...
Hii miradi yote imeanza kupakwa tope na kwa mwendo huu hakuna kitakachokamilika
Na watanzania tumenogewa na misemo hii, ngoma hii tutaicheza usiku kucha ila pakikucha hakuna wakutupangusa matongotongo
Napenda kuwashauri watu ya kanda ya ziwa kwamba siku hizi mambo yamebadilika
Nafaka nyingi sasa hivi huifadhiwa kwa njia za kisasa sio kwa njia za asili kama ilivyozoeleka zamani
Kwa kiwango kikubwa mahindi yanayonunuliwa masokoni, asilimia zaidi ya 90, mameifadhiwa kwa sumu ya kuzuia wadudu...
Baba alijua ipo siku utakua na hayo yote utayangamua mwisho wa safari yako ya mafanikio
Uwezi kuishi maisha ya mwenzako huo ni utumwa ishi maisha yako utakuwa huru moyoni mwako
Wajuzi wa mambo wanakwambia awamu ya JK, kuna wakati hazina kulikuwa hakuna kitu na ili alipe mishahara ya wafanyakazi lazima akwee pipa akawapigie magoti wazungu
Tulidharaulika kila kona, na hata vinchi vidogo kama Malawi na Rwanda walisimama na kutukebei na bila hiyana JK hakupanua hata domo...
Huyu mkurugezi anajiona kama mungu Mtu, suala la uhamisho kwa watumishi wa umma upo kisheria lakini yeye ameenda kinyume na hilo kwa miaka mingi.
Tumevumilia labda atabadilika lakini misimamo yake binafsi tumeichoka.
Amewatenga watumishi wa wilaya ya mji wa tarime na watumishi wa wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.